Tuache usanii wa kuvaa barakoa

Tuache usanii wa kuvaa barakoa

Haya mabarakoa yamejaa usanii mtupu.

Ukiingia ofisi ya umma unalivaa. Ukitoka unalivua.

Hata mama yetu akiwa ughaibuni analivaa. Akishuka uwanja wa ndege analivua anaendelea kupuyanga.

Mabarakoa yamekuwa kama fasheni ya kubandika na kubandua. Unaangalia tu mazingira muafaka.

Barakoa imepoteza ile dhima yake ya msingi ya kujikinga dhidi ya ugonjwa bandia wa uviko.

Ni likitambaa tu linalovaliwa kulingana na muktadha wa eneo husika.

Ukimuona beberu unalivaa, akiondoka unalibandua.

Kuna haja ya kuendelea kuigiza?
Wakati wote sisi ni watumwa wa fikra, unafanya jambo kumfurahisha mtu
 
Haya mabarakoa yamejaa usanii mtupu.

Ukiingia ofisi ya umma unalivaa. Ukitoka unalivua.

Hata mama yetu akiwa ughaibuni analivaa. Akishuka uwanja wa ndege analivua anaendelea kupuyanga.

Mabarakoa yamekuwa kama fasheni ya kubandika na kubandua. Unaangalia tu mazingira muafaka.

Barakoa imepoteza ile dhima yake ya msingi ya kujikinga dhidi ya ugonjwa bandia wa uviko.

Ni likitambaa tu linalovaliwa kulingana na muktadha wa eneo husika.

Ukimuona beberu unalivaa, akiondoka unalibandua.

Kuna haja ya kuendelea kuigiza?
IMG-20220228-WA0025.jpg
 
Kuna ofisi huingii bila barakoa
Lazima ununue maana zinauzwa hapo hapo. Ukiingia ndani wenyewe hawavai
 
Back
Top Bottom