Tuache unafiki, karibu kila Mtanzania kawahi kwenda kwa mganga ama kununua dawa zao ila wengi tunafanya kwa siri

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Kama hukuwahi kwenda unaeza ukajikuta unaenda siku moja aisee, Matatizo yakikupata unahaha mpaka unakufuru ili upate nafuu ukashawishika kwenda kwa mtaalam, wengine ndio mwanzo wa kupeleka kila shida kwa mganga ila wengine wakijionea sanaa zao huwarudi tena.

Kuna wataalam wa kweli lakini wengi sana ni matapeli waliojaa tamaa, Dada zetu wanaotafuta watoto wamekuwa wahanga, Mtaalam anadanganya kuingiza dawa kwa kumuingilia, Waungwana Waugwana namtoa huyu jini Subiani huku chini kwa huyu mwanamuke mumutoe, tokaaa tokaa wewe eee, toka humo kwenye shimoooo, kama hutoki ngoja NYOKA wangu asie na macho anakuja kukutemea sumuuu ufeeeeeeeee, unagoma kutokaaaa ee haya subiriiii, HAYAAAAA AAAAH AAAHH NYOKA ANAMWAGA SUMUUUUU UWIIIIIIIIIII.

Binafsi nimeenda kwa mganga mara mbili lakini pia nimepata fursa ya kushuhudia watu kadhaa wa kadhaa wa matabaka tofauti wanaokwenda kwa waganga live kwa macho yangu sio kusimuliwa, Shamba nililokuwa nalima halipo mbali sana na kwa Mtaalam,

Vitu vinavyowapeleka watu kwa waganga:
  • Wagonjwa wanaohisi wamerogwa hasa baada ya kuzunguka mahospitalini, makanisani, misikitini.
  • Mazindiko / kinga / hirizi za mwili, nyumba, biashara, kazi, n.k.
  • Wafanya biashara wanaotaka pesa za kafara.
  • Maofisini kwa wanaohitaji kujilinda dhidi ya kurogwa na kupandishwa vyeo
  • Malimbwata ya mapenzi
  • Kutafuta mtoto (wataalam hula tunda kimasihara kusingizia kuingiza dawa)
  • Kulipa visasi
  • Mvuto (vijana wengi sana)
Na
 
Duuh, ni kweli inabidi uwe na nguvu nyuma lakini inagemea ni nguvu ya kutoka wapi.

Ya Mungu au ya shetani (waganga). Kupanga nice kuchagua bila hivyo Africa hutoboi.

Wengine watakuja kusema hawajawahi wakati walikuta wazazi wao wakristo au waislam nao baada ya kukua wakings tela humo humo bila kujua.

Hivyo waelewe hao hao wazazi wao wamesha waogea dawa ili wao waishi vizuri wasijue kuna nguvu nyuma.
 
Kama hukuwahi kwenda unaeza ukajikuta unaenda siku moja aisee, Matatizo yakikupata unahaha mpaka unakufuru ili upate nafuu ukashawishika kwenda kwa mtaalam, wengine ndio mwanzo wa kupeleka kila shida kwa mganga ila wengine wakijionea sanaa zao huwarudi tena.

Kuna wataalam wa kweli lakini wengi sana ni matapeli waliojaa tamaa, Dada zetu wanaotafuta watoto wamekuwa wahanga, Mtaalam anadanganya kuingiza dawa kwa kumuingilia, Waungwana Waugwana namtoa huyu jini Subiani huku chini kwa huyu mwanamuke mumutoe, tokaaa tokaa wewe eee, toka humo kwenye shimoooo, kama hutoki ngoja NYOKA wangu asie na macho anakuja kukutemea sumuuu ufeeeeeeeee, unagoma kutokaaaa ee haya subiriiii, HAYAAAAA AAAAH AAAHH NYOKA ANAMWAGA SUMUUUUU UWIIIIIIIIIII.

Binafsi nimeenda kwa mganga mara mbili lakini pia nimepata fursa ya kushuhudia watu kadhaa wa kadhaa wa matabaka tofauti wanaokwenda kwa waganga live kwa macho yangu sio kusimuliwa, Shamba nililokuwa nalima halipo mbali sana na kwa Mtaalam,

Vitu vinavyowapeleka watu kwa waganga:
  • Wagonjwa wanaohisi wamerogwa hasa baada ya kuzunguka mahospitalini, makanisani, misikitini.
  • Mazindiko / kinga / hirizi za mwili, nyumba, biashara, kazi, n.k.
  • Wafanya biashara wanaotaka pesa za kafara.
  • Maofisini kwa wanaohitaji kujilinda dhidi ya kurogwa na kupandishwa vyeo
  • Malimbwata ya mapenzi
  • Kutafuta mtoto (wataalam hula tunda kimasihara kusingizia kuingiza dawa)
  • Kulipa visasi
  • Mvuto (vijana wengi sana)
Na
I highly doubt about this. Eti karibu kila mtanzania. Aisee, kwa takwimu au vigezo gani ulivyotumia? Au ni assumptions tu. Sidhani hata kama asilia 10 wanafika walioenda kwa waganga.
 
Maisha yangu yote sijawahi kwenda kwa mganga, na sina mpango huo kamwe.
Yote ni hofu yangu juu ya Mungu.
Ktk mambo yaliyoonywa kwa ukali ktk Quran ni shirki! Namtegemea yeye pekee na hakika anatosha.

Hivyo hoja yako ni batil, sio kweli kila mtu amewahi kwenda kwa mganga.
 
Kama hukuwahi kwenda unaeza ukajikuta unaenda siku moja aisee, Matatizo yakikupata unahaha mpaka unakufuru ili upate nafuu ukashawishika kwenda kwa mtaalam, wengine ndio mwanzo wa kupeleka kila shida kwa mganga ila wengine wakijionea sanaa zao huwarudi tena.

Kuna wataalam wa kweli lakini wengi sana ni matapeli waliojaa tamaa, Dada zetu wanaotafuta watoto wamekuwa wahanga, Mtaalam anadanganya kuingiza dawa kwa kumuingilia, Waungwana Waugwana namtoa huyu jini Subiani huku chini kwa huyu mwanamuke mumutoe, tokaaa tokaa wewe eee, toka humo kwenye shimoooo, kama hutoki ngoja NYOKA wangu asie na macho anakuja kukutemea sumuuu ufeeeeeeeee, unagoma kutokaaaa ee haya subiriiii, HAYAAAAA AAAAH AAAHH NYOKA ANAMWAGA SUMUUUUU UWIIIIIIIIIII.

Binafsi nimeenda kwa mganga mara mbili lakini pia nimepata fursa ya kushuhudia watu kadhaa wa kadhaa wa matabaka tofauti wanaokwenda kwa waganga live kwa macho yangu sio kusimuliwa, Shamba nililokuwa nalima halipo mbali sana na kwa Mtaalam,

Vitu vinavyowapeleka watu kwa waganga:
  • Wagonjwa wanaohisi wamerogwa hasa baada ya kuzunguka mahospitalini, makanisani, misikitini.
  • Mazindiko / kinga / hirizi za mwili, nyumba, biashara, kazi, n.k.
  • Wafanya biashara wanaotaka pesa za kafara.
  • Maofisini kwa wanaohitaji kujilinda dhidi ya kurogwa na kupandishwa vyeo
  • Malimbwata ya mapenzi
  • Kutafuta mtoto (wataalam hula tunda kimasihara kusingizia kuingiza dawa)
  • Kulipa visasi
  • Mvuto (vijana wengi sana)
Na

Ndio asili yetu,dini za wageni sio asili yetu.
 
Kama hukuwahi kwenda unaeza ukajikuta unaenda siku moja aisee, Matatizo yakikupata unahaha mpaka unakufuru ili upate nafuu ukashawishika kwenda kwa mtaalam, wengine ndio mwanzo wa kupeleka kila shida kwa mganga ila wengine wakijionea sanaa zao huwarudi tena.

Kuna wataalam wa kweli lakini wengi sana ni matapeli waliojaa tamaa, Dada zetu wanaotafuta watoto wamekuwa wahanga, Mtaalam anadanganya kuingiza dawa kwa kumuingilia, Waungwana Waugwana namtoa huyu jini Subiani huku chini kwa huyu mwanamuke mumutoe, tokaaa tokaa wewe eee, toka humo kwenye shimoooo, kama hutoki ngoja NYOKA wangu asie na macho anakuja kukutemea sumuuu ufeeeeeeeee, unagoma kutokaaaa ee haya subiriiii, HAYAAAAA AAAAH AAAHH NYOKA ANAMWAGA SUMUUUUU UWIIIIIIIIIII.

Binafsi nimeenda kwa mganga mara mbili lakini pia nimepata fursa ya kushuhudia watu kadhaa wa kadhaa wa matabaka tofauti wanaokwenda kwa waganga live kwa macho yangu sio kusimuliwa, Shamba nililokuwa nalima halipo mbali sana na kwa Mtaalam,

Vitu vinavyowapeleka watu kwa waganga:
  • Wagonjwa wanaohisi wamerogwa hasa baada ya kuzunguka mahospitalini, makanisani, misikitini.
  • Mazindiko / kinga / hirizi za mwili, nyumba, biashara, kazi, n.k.
  • Wafanya biashara wanaotaka pesa za kafara.
  • Maofisini kwa wanaohitaji kujilinda dhidi ya kurogwa na kupandishwa vyeo
  • Malimbwata ya mapenzi
  • Kutafuta mtoto (wataalam hula tunda kimasihara kusingizia kuingiza dawa)
  • Kulipa visasi
  • Mvuto (vijana wengi sana)
Na
Bora hujasema kila Mtanzania. Kwa kadiri ya uelewa wangu, sijawahi kukanyaga kwa mganga wa kienyeji.

Siku za nyuma, nilikuwa najiuliza "mganga wa kienyeji anafananaje", mpaka miaka ya hivi karibuni nilipofika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kuna watu wawili ambao kila mara walikuwa wakifika ofisini kwangu kwa nyakati tofauti kwa shida za kiofisi, na walionekana ni watu wa kawaida tu. Alikuwa ni mwanamke mmoja na mwanaume mmoja, na wote walikuwa na malazi jirani na kazini kwangu.

Siku nilipoambiwa kuwa wote hao ni waganga wa kienyeji, nilishangaa sana. Kwa mwonekano wa nje, walionekana ni watu wa kawaida tu. Hakukuweko na kitu chochote kilichowaonesha kuwa ni waganga.

Naamini kuna Watanzania wengine wenye uzoefu kama wangu. Sijawahi kwenda kutafuta msaada wa wachawi (waganga wa kienyeji) na sitakaa nifanye hivyo.

Niaminivyo mimi, mganga wa kienyeji ni mchawi, na mchawi ni mtumishi wa Shetani, na mimi sina ushirika na Shetani.

Sitakaa niende kwa mganga wa kienyeji. Sikuwahi kwenda na kamwe sitakaa niende, labda nikawahubirie Habari Njema za Ufalme wa Mungu Aliye Hai!
 
Kwa mganga nimepelekwa na nilipozoea nikawa naenda mwenyewe...

Achana na maisha ni mwalimu... kipindi hicho magonjwa kuumwa vitu vinatembea mwilini acheni tu..

Saivi nimeokoka, nimempokea Yesu Kristo maishani mwangu, ninafurahaa...

Siendi Tena kwa mganga Wala kuabudu Mizimu..

Ajabu aliyekuwa ananipeleka ndio mchawi mwenyewe aliyekuwa ananiloga...

Nilipookoka na kupata macho ya Rohoni nikaonyeshwa yote aliyonifanyia...

Inaniumaaa nyieee.. alafu ni ndugu yangu wa karibu yangu...

Najuta kwanini nilienda, maana nina chale ni alama ambayo inanikwaza...

Bwana YESU atukuzwe
 
Back
Top Bottom