ugonjwa wa taifa huu mkuu!kujua hisabati ni KIPAJI kutoka kwa ALLAH!
asilimia karibu 85 ya waafrika NI WAOGA WA MATHE!
duu mwana vitu vingine tunavyoongea inabidi tuwe makini inamaa wote hao laki tano waliofeli ALLAH hajawapa vipaji vya hisabati, bac kama ndio hivyo Allah ana mpango wake inabidi tusubiri tuone
tatizo kubwa la sasa Tanzania ni siasa, hili Tazizo limekuwa kubwa kiasi sasa linafikia kuathiri maendeleo ya taifa, maana kwa kila kitu ambacho kinaweza kutatuliwa kwa njia ya kawaida ni lazima siasa ndio ichukue mkondo wake kwanza, na ule ushauri mzuri wa wataalamu unafuata baadae kama ukipata nafasi, (issue ya relwe, richmond, epa na zinginezo, ushauri wa kitaalamu ulipuuzwa na ule wa wanasiasa ndio ukachukua nafasi)
sasa kwa hili la hisababti tatizo nadhani moja kwa moja linaanzia serikalini, uwezi kuwalaumu wanafunzi wakati ujawapa walimu wanaofahamu hilo somo, kama serikali imewaajili walimu wabovu unategemea nini, mbona kipindi cha nyuma ufaulu ulikuwa ni mkubwa katiak hayo masomo,
sasa hebu angalia wanataka kuua technical collage zote ziwe universities, sidhani kama unaweza kuwa na product nzuri bila kuwa na artisanz na mafundi michundo, hivi mainjinia wote wakiwa na gdegree nani atakuwa technician, lakini uhamuzi huo upo kisiasa zaidi ili ionekane huyu raisi amecha vyuo vikuu kadhaa
nchi kama India, China, na Scandinavian wanabase sana kwenye technicianz level na ndio maana hawa jamaa wa FINIDA na DANIDA Walijaribu kuwekeza sana kwenye VETA.
NCHI YENYE MAENDELEO SIASA HUWA ZINAANZA NA ZINAISHIA WAKATI WA UCHAGUZI, BAADA YA HAPO WATU WANAPIGA KAZI 2