NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Kaka millard ni exception, katoka mbali sana huyu.
Nimekuwa nikiona baadhi ya vijana hasa hawa wa chuoni na wahitimu wenye kujua jua kutumia vilaptop wanapotoshana mambo ya youtube, blogging, sijui app, adsense, n.k. kwamba kuna pesa
Ni kweli haya mambo kwa wenzrtu huko yanalipa na watu wamebadili maisha lakini kwa bongo hii Bin No!
Kwa bongo kutoboa online ni ngumu sana, utaona tu picha zao insta ila maisha halisi ni tofauti sana, ukifatilia wale wenye nazo wanaona aibu hata kuweka wazi jinsi wanavyozipata (kushare picha za uchi kwenye account za fb wanazoziiba, kufoji vitambulisho kutapeli watu, tuma kwa ile namba, ponzi schemes, n,k).
Ni heri ufanye kilimo, tunawaona watu wamechana msamba.
Ni heri ufungue mgahawa, tunawaona watu wana range zao za milioni 200
Ni heri ufungue duka lako la hardware, mdogomdogo una grow ndani ya miaka 10 kuna chance ya kufika mbali
Nimekuwa nikiona baadhi ya vijana hasa hawa wa chuoni na wahitimu wenye kujua jua kutumia vilaptop wanapotoshana mambo ya youtube, blogging, sijui app, adsense, n.k. kwamba kuna pesa
Ni kweli haya mambo kwa wenzrtu huko yanalipa na watu wamebadili maisha lakini kwa bongo hii Bin No!
Kwa bongo kutoboa online ni ngumu sana, utaona tu picha zao insta ila maisha halisi ni tofauti sana, ukifatilia wale wenye nazo wanaona aibu hata kuweka wazi jinsi wanavyozipata (kushare picha za uchi kwenye account za fb wanazoziiba, kufoji vitambulisho kutapeli watu, tuma kwa ile namba, ponzi schemes, n,k).
Ni heri ufanye kilimo, tunawaona watu wamechana msamba.
Ni heri ufungue mgahawa, tunawaona watu wana range zao za milioni 200
Ni heri ufungue duka lako la hardware, mdogomdogo una grow ndani ya miaka 10 kuna chance ya kufika mbali