Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 4,857
- 13,160
Wasukuma tumekukosea nini weweWanaume wa kinyakyusa wasukuma kwenye wasukuma ni Kanda ya ziwa Kwa ujumla wanapenda wanawake weupe sijui wanashida gan na weupe wa mwanamke
Ah kumbe wee sio kataa ndoa 🤣🤣🤣🤣Nina Mke chotara Mkuu.
Sio hawa machotara pori
Uwongooo hamna black beauty wewe. Wazuri ni weupe tuu 🤣🤣🤣🤣
Aiseee kumbe...ebu ngoja nijaribu ngozi nyeusi
Na rangi ya kenge maji pia sio mbaya 😂Raha ya rangi iwe ya asili Kama binti kiziwi, Nifah na Angel Nylon
Ila hata rangi ya nusu albino Half american sio mbaya kivile😂
HAsa ma kenge maji weusi ka weweNa rangi ya kenge maji pia sio mbaya 😂
Kwahyo sio nusu albino tena n mweusiHAsa ma kenge maji weusi ka wewe
😂😂😂😂 ilimradi tu umtanie shemeji yangu 😭💔Raha ya rangi iwe ya asili Kama binti kiziwi, Nifah na Angel Nylon
Ila hata rangi ya nusu albino Half american sio mbaya kivile😂
Yule ni kenge nusu albino Half american the manara 🤣😂😂😂😂😂 ilimradi tu umtanie shemeji yangu 😭💔
Bora shem useme wewe😂😂😂😂 ilimradi tu umtanie shemeji yangu 😭💔