F fega fega JF-Expert Member Jul 12, 2015 371 313 Nov 11, 2016 #81 Mara kumi wangeupa promo mdumange kuliko hayo makelele
Rohombaya JF-Expert Member Jul 4, 2011 13,060 10,346 Nov 11, 2016 #82 Dah....hata mimi hainivutii kabisa aiseeee.....labda unafaa kwa walevi tuu
Y young MathematiciAn Senior Member Oct 31, 2016 160 361 Nov 11, 2016 #83 jang said: Naomba direction ya huo mtaa nikafanye research, nipo kino B hapa Click to expand... Mkwajuni kwa ndani sasa lkn barabara kama ya kwenda kkoo upande huo ingia ndani ..ndio Mosco ,hananasif ..uswahili mchana watu kibao,maskani kibao,akina Dada vibarazani kibao ,..
jang said: Naomba direction ya huo mtaa nikafanye research, nipo kino B hapa Click to expand... Mkwajuni kwa ndani sasa lkn barabara kama ya kwenda kkoo upande huo ingia ndani ..ndio Mosco ,hananasif ..uswahili mchana watu kibao,maskani kibao,akina Dada vibarazani kibao ,..
The Ideologist JF-Expert Member Nov 11, 2012 483 244 Nov 11, 2016 #84 Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho, huu ni upepo utapita tu.
SangaweJr JF-Expert Member Oct 28, 2012 2,971 2,638 Nov 11, 2016 #85 Ukisikiliza vizuri, ni kama mdumange, kwa wale wanao jua hiyo ngoma ya mdumange.
zagalo Senior Member Mar 5, 2009 128 42 Nov 13, 2016 #86 Mimi nadhani wangeacha kuupa promo muziki wa Nigeria. Infact ungepigwa marufuku kabisa
Antennah JF-Expert Member Oct 14, 2015 6,680 8,572 Nov 14, 2016 #87 najitahd kuupenda lakn nashndwa... huo mziki naomba usiwe unaingizwa mbeya tafadhal