<br />Mimi nimeitwa, nadhani wewe umefulia mkuu
wameita watu tokea juma3 kwa ajili ya written interview ijumaaa...reliable source
Mkuu reliable source ndio wewe mwenyewe au umeambiwa tu na mtu wako wa karibu? Tupe more details ili na sisi tukaulize usikute kama walipiga simu, wengine simu zetu inawezekana zilikuwa hazipatikani au kuna mchezo wa kusahau kukupigia ili kupunguza watu. More info please, maana nami niliomba.
kwani kuomba ni lazima upate?ndio maana ya shortlisting....consider urself unsuccessful
Retreat; tatizo lako ulipo-retreat...wenzako wali-advance..ona sasa..Wadau nimesikia kuwa TTCL wameanza kuita watu kwa ajili ya written Interview kwa zile post za IT, kama ICT Security Engineer. Kuna mtu ana taarifa kuhusu hii tetesi?
Retreat; tatizo lako ulipo-retreat...wenzako wali-advance..ona sasa..
No am just trying to make this post bigger and louder like party.Hahahahahahahaha! Haya mkuu Wilbald. Vp na wewe ni mmoja wao walio advanced?
<br />na mimi nilituma TTCL lkn sijajibiwa, huenda ndo mtoso wenyewe, kwani nitumia partial transcript ya 5 semistas
Written interview ya kwanza imefanyika Ijumaa saa Nne mpaka saa sita,baada ya two weeks wataitwa waliofaulu kwa ajili ya oral!
ukiona manyoya..., ujue keshaliwa....!