TTCL nini shida?

TTCL nini shida?

Hussein J Mahenga

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2012
Posts
751
Reaction score
656
Mimi ni mzalendo, nimeitikia wito wa kurudi nyumbani kwa sababu kumenoga!!
Sasa cha kushangaza, TTCL inapatikana baadhi ya maeneo na maeneo mengine haipatikani kabisa, sijui nini shida.


Lakini pia, ili ifanye kazi, TTCL inahitaji iwe primary card, kwa maana ya kwamba, haifanyi kazi kama net inayosoma ni E, sasa sijui hii maana yake nini?

Mimi nawaombeni TTCL kwamba, hebu rekebisheni na fanyieni kazi mapungufu haya ili tuweze kwenda vizuri, na kampuni liwe la ushindani mzuri.

Asanteni
 
Hili shirika ni umiza kichwa sana yani katika biashara ya ushindani kama sasa wao hata hawaeleweki wanafanya nini kwa kweli.
 
Uko wapi? Kwangu hata 2G siku izi inasoma sio lazima 4G .
 
Huyu nke havutii kabisa!
Inabidi umfunike gunia usoni ndio um kwichikwichi
 
Halafu wanapita na mabango yao wanabandika kwenye maduka ya watu ole wao waweke kwenye duka langu nawatoa nduki
 
Hili shirika ni umiza kichwa sana yani katika biashara ya ushindani kama sasa wao hata hawaeleweki wanafanya nini kwa kweli.
Kutaka TTCL iwe sawa na vodacom au Tigo ni sawa na kutaka TBC iwe sawa na AZAM Tv au ITV.....
 
Mimi ni mzalendo, nimeitikia wito wa kurudi nyumbani kwa sababu kumenoga!!
Sasa cha kushangaza, TTCL inapatikana baadhi ya maeneo na maeneo mengine haipatikani kabisa, sijui nini shida.


Lakini pia, ili ifanye kazi, TTCL inahitaji iwe primary card, kwa maana ya kwamba, haifanyi kazi kama net inayosoma ni E, sasa sijui hii maana yake nini?

Mimi nawaombeni TTCL kwamba, hebu rekebisheni na fanyieni kazi mapungufu haya ili tuweze kwenda vizuri, na kampuni liwe la ushindani mzuri.

Asanteni

Mkuu you are part of the problem kurudi kwenye hilo limtandao..

Yaani watu wanatuingiza kwenye uzalendo kuutumia vibaya...

Uzalendo na wewe mzalendo uhudumiwe ipasavyo....ila ni kinyume chake kabisa!

Ndio maana anything supported au kipo chini ya serikali ya CCM sikiangalii hata mara moja...anything!

Sio benki za seerikali,TTCL,TBC,etc....rubbish na nonsense tupu!
 
Mimi ni mzalendo, nimeitikia wito wa kurudi nyumbani kwa sababu kumenoga!!
Sasa cha kushangaza, TTCL inapatikana baadhi ya maeneo na maeneo mengine haipatikani kabisa, sijui nini shida.


Lakini pia, ili ifanye kazi, TTCL inahitaji iwe primary card, kwa maana ya kwamba, haifanyi kazi kama net inayosoma ni E, sasa sijui hii maana yake nini?

Mimi nawaombeni TTCL kwamba, hebu rekebisheni na fanyieni kazi mapungufu haya ili tuweze kwenda vizuri, na kampuni liwe la ushindani mzuri.

Asanteni
Wameanza kumbwela mapema hii!!!!!?
 
Hawa wanapatikana popote palipo na network ya tigo. Kama ttcl eneo ulipo inazingua fanya setting kweny simu yako ufanye roaming kweny mtandao wa tigo
 
Back
Top Bottom