Kampuni yetu ya kitanzania inazindua Huduma ya 4G Leo kwa wakaz wa Dar es Salaam.
Huduma hii itawezesha kupatikana kwa internet ya kasi kabisa .
Huduma hii itaendelea mikoani apo baadae mwakani, huu ni mkakati wa TTCL kujirudisha kwenye biashara ya simu za mkononi baada ya kuhujumiwa miaka kadhaa na Airtel.
Hongereni sana TTCL
hongera Magufuli.
Hapa kazi tu.
Chanzo: Nimealikwa uzinduzi.
Huduma hii itawezesha kupatikana kwa internet ya kasi kabisa .
Huduma hii itaendelea mikoani apo baadae mwakani, huu ni mkakati wa TTCL kujirudisha kwenye biashara ya simu za mkononi baada ya kuhujumiwa miaka kadhaa na Airtel.
Hongereni sana TTCL
hongera Magufuli.
Hapa kazi tu.
Chanzo: Nimealikwa uzinduzi.