bona JF-Expert Member Joined Nov 6, 2009 Posts 3,798 Reaction score 1,444 Jan 26, 2016 #21 secrete said: Daah safi sana angalau vijana wetu watapata kazi kwenye kampuni ya kizalendo tuachane na wa-vietnam wanaolipa vijana 300,000/= (Gross) Click to expand... ttcl nao wana shida kubwa ya ajira za kujuana! hilo ndio tatizo kubwa la taasis za serikali
secrete said: Daah safi sana angalau vijana wetu watapata kazi kwenye kampuni ya kizalendo tuachane na wa-vietnam wanaolipa vijana 300,000/= (Gross) Click to expand... ttcl nao wana shida kubwa ya ajira za kujuana! hilo ndio tatizo kubwa la taasis za serikali
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Jan 26, 2016 #22 Khakha said: Lazima nihamie TTCL mobile! Naipenda nchi yangu. Kati ya line zangu hizi mbili mojawapo itabidi inisamehe kwa kweli! Click to expand... Hata mimi ila inabidi kwa kweli waboreshe huduma zao, wazalendo tutahamia tupo wengi
Khakha said: Lazima nihamie TTCL mobile! Naipenda nchi yangu. Kati ya line zangu hizi mbili mojawapo itabidi inisamehe kwa kweli! Click to expand... Hata mimi ila inabidi kwa kweli waboreshe huduma zao, wazalendo tutahamia tupo wengi