Ttcl broadband

wajifya

Member
Apr 15, 2012
8
0
MSAADA KUNA ANAYE WEZA KUCHAKACHUA TTCL BB MODERM,IWEZE KUSURF INTERNET BURE AU KAMA KUNA ALIYE NA PROXY ZINAZO KUBALI KWENYE TTCL BB ?NAOMBA ANISAIDIE :help:
 
Mbona Watanzania mnapenda sana kuchakachua vitu? Pesa mnazo lakini mnaendeleza kuiba. Mngekuwa mnatumia elimu yenu hiyo kubuni software mpya na kuziuza, mngefika mbali! THINK POSITIVE!
 
We dwanzi kweli broadband haichhakachuliki hata ufanyeje labda mtafute bill gates atakusaidia
 
Mbona Watanzania mnapenda sana kuchakachua vitu? Pesa mnazo lakini mnaendeleza kuiba. Mngekuwa mnatumia elimu yenu hiyo kubuni software mpya na kuziuza, mngefika mbali! THINK POSITIVE!

Are you sure of what ur saying?
 
Mbona Watanzania mnapenda sana kuchakachua vitu? Pesa mnazo lakini mnaendeleza kuiba. Mngekuwa mnatumia elimu yenu hiyo kubuni software mpya na kuziuza, mngefika mbali! THINK POSITIVE!

BIG UP man!!! wakenya wamlitumia wakaja na MPESA hapa mtu akisomea IT tu 1st thing HACKING is this what you learn in school? disgusting!!!!!!!!!!!!!1
 
Dude,mimi nishawahi kujaribu maswala hii na nilifanikiwa vizuri kabisa,lakini kuna faida yake na kuna hasara yake,amini usiamini nimefaidi more thani 5 years wih speed ya kufa mtu 8mb/sec,it happends like this,when i (------) ttcl nilifaidi sana so niliona kama nimchezo mzuri,but sasa hivi hawako kama zamani wanamitambo ambayo inaweza kukujua haponapapo unatumia a/c ya mtu mwingine.na wakikujua tu mjomba kazi unayo.

so it's an advice to you achananayo kabisa utaijuta sana :smile-big:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom