TTCL badilikeni mtoe huduma kama mitandao mingine

TTCL badilikeni mtoe huduma kama mitandao mingine

Zamani walkuwa wanatumia technology ya CDMA 2K ndo kulkuwa na hzo shida za line kutokutumika na phone nyingne lkn kwa technology waliokuja nayo sasahiv wanaanza kutumia GSM, 3G wanatumia UMTS na 4G LTE sidhan kama utaexperience hzo shida
Snap shot tupate aidia ya bando zao
 
Nilinunua line yao mwezi wa 6,wakaniwekea kwenye simu ila nilivyofika ubungo haikusoma tena mpaka leo hii. Line yao wanauza 2000.
W
Elfu 2?
Wataendelea kuchechemea hawa, wakajifunze halotel, mipangilio ya awali ya halotel ilikuwa inashawishi sana kujiunga, ingawa wameanza kuzingua
Kwani mfano wakigawa sim card bure, watapata hasara gani?
Mtu ili aitumie lazima aweke vocha, mbona hawajui kutega mabomu ya ki biashara hawa?
Hapa kuna shida unabidi mikono ya wakubwa ianze kupapasa wapi kuna tatizo kampuni hii!
 
W
Elfu 2?
Wataendelea kuchechemea hawa, wakajifunze halotel, mipangilio ya awali ya halotel ilikuwa inashawishi sana kujiunga, ingawa wameanza kuzingua
Kwani mfano wakigawa sim card bure, watapata hasara gani?
Mtu ili aitumie lazima aweke vocha, mbona hawajui kutega mabomu ya ki biashara hawa?
Hapa kuna shida unabidi mikono ya wakubwa ianze kupapasa wapi kuna tatizo kampuni hii!

4e33243411d14ab8532f32a4292c975f.jpg
ndio mkuu wanauza elfu 2,na haifanyi kazi. Waliniambia mtandao wao bado haujakaa sawa
 
Karibu sana katika kizazi cha T-tumefanikisha, sisi wengine tumeshawahi mapema huku na tunafurahia huduma ya kampuni yetu ya Kitanzania.
Naomba uniandikie gharama za bundle zao. Au kama vipi tuma hata screenshot plz
 
Vocha zao itakuwa kasheshe kuzipata.

mkuu kama una mpesa unaweza nunua vocha zao unaenda lipa bili namba yao ya kampuni ni 339999 au maxmalipo na selcom wanauza vocha zao
 
mbona wana 4G nenda kanunue line unaweka simu yeyote inayosapot 4G mi ninayo na iko poa sana kulinganisha na mitandao mingine na nilinunua baada ya kuona wengine mizinguo kwa DAR iko poa sana ....na wana lunch nchi nzima 2g,3g by december ila 4G itakua kwenye mikoa mikubwa tu ...mkuu kanunue line yao ya 4G then uje hapa utoe ushuhuda ukifanya comparison na makampuni mengine mi natumia mitandao voda,tigo,airtel na halotel lkn 4G YA ttcl ni better kuliko zote.......
Don't be fooled, it looks better than others because of low customer base, otherwise with time it will look rubbish like others
 
mbona wana 4G nenda kanunue line unaweka simu yeyote inayosapot 4G mi ninayo na iko poa sana kulinganisha na mitandao mingine na nilinunua baada ya kuona wengine mizinguo kwa DAR iko poa sana ....na wana lunch nchi nzima 2g,3g by december ila 4G itakua kwenye mikoa mikubwa tu ...mkuu kanunue line yao ya 4G then uje hapa utoe ushuhuda ukifanya comparison na makampuni mengine mi natumia mitandao voda,tigo,airtel na halotel lkn 4G YA ttcl ni better kuliko zote.......
Ni maeneo fulani tu. Mimi nakaa Kongowe, Dsm, ninayo hiyo 4G, HAMNA KITU.
 
Tatizo wanaoajiri wafanyakazi wa mtandao huu ni aki na Gambo na Makonda na baadae wanaendesha biashara kwa matamko na wanawalazimisha ku-sponsor vipindi vya TBC.
 
TTCL KAMPUNI YA KIBOYA IKO KINYONGENYONGE SANA

OVA
 
Back
Top Bottom