TTCL badilikeni mtoe huduma kama mitandao mingine

TTCL badilikeni mtoe huduma kama mitandao mingine

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
2,734
Reaction score
1,780
Habari za humu wana JF!
Mi najiuliza kila siku ila huwa sipati majibu,
Ila humu jf huwa napata angalau pa kutolea mawazo yangu hivyo kushea mawazo ya watu.

Kuna kipindi TTCL ilianza kuuza simu za kiganjani, ambazo ili uzitumie ilikuwa lazima utie laini yao wenyewe,
Lakini haikuwa simu tu,
Hata laini yao haikuwa na uwezo wa kutumika kwenye simu nyingine.
 
mbona wana 4G nenda kanunue line unaweka simu yeyote inayosapot 4G mi ninayo na iko poa sana kulinganisha na mitandao mingine na nilinunua baada ya kuona wengine mizinguo kwa DAR iko poa sana ....na wana lunch nchi nzima 2g,3g by december ila 4G itakua kwenye mikoa mikubwa tu ...mkuu kanunue line yao ya 4G then uje hapa utoe ushuhuda ukifanya comparison na makampuni mengine mi natumia mitandao voda,tigo,airtel na halotel lkn 4G YA ttcl ni better kuliko zote.......
 
Habari za humu wana JF!
Mi najiuliza kila siku ila huwa sipati majibu,
Ila humu jf huwa napata angalau pa kutolea mawazo yangu hivyo kushea mawazo ya watu.

Kuna kipindi TTCL ilianza kuuza simu za kiganjani, ambazo ili uzitumie ilikuwa lazima utie laini yao wenyewe,
Lakini haikuwa simu tu,
Hata laini yao haikuwa na uwezo wa kutumika kwenye simu nyingine, walitoa moderm pia,(ambazo nadhani bado zina
Zamani walkuwa wanatumia technology ya CDMA 2K ndo kulkuwa na hzo shida za line kutokutumika na phone nyingne lkn kwa technology waliokuja nayo sasahiv wanaanza kutumia GSM, 3G wanatumia UMTS na 4G LTE sidhan kama utaexperience hzo shida
 
Ila bando zao hizo bei zake kwakwel sio rafiki kwa wananchi wa hali ya chini wa JPM
 
Ila bando zao hizo bei zake kwakwel sio rafiki kwa wananchi wa hali ya chini wa JPM
 
Wiki hii nitaenda kuichukua, nami nipate kutumia ya TTCL.
 
mbona wana 4G nenda kanunue line unaweka simu yeyote inayosapot 4G mi ninayo na iko poa sana kulinganisha na mitandao mingine na nilinunua baada ya kuona wengine mizinguo kwa DAR iko poa sana ....na wana lunch nchi nzima 2g,3g by december ila 4G itakua kwenye mikoa mikubwa tu ...mkuu kanunue line yao ya 4G then uje hapa utoe ushuhuda ukifanya comparison na makampuni mengine mi natumia mitandao voda,tigo,airtel na halotel lkn 4G YA ttcl ni better kuliko zote.......
Wahinga line yao ninayo wiki ya pili aijawa activated kesho nawafata ntawachapa makofi huu ni msimu wa hapa kazi tu wa wanaleta janja ya mjini
 
TTCL ni ngumu sana kupenyeza kwenye hili soko hasa kwenye kuwa na laini za kawaida.(TTCL MOBILE)

Waangalie Zantel wanavyo chechemea.

Mwaka 2005 walivyokuja na mtindo laini na vocha(TTCL MOBILE) kama mitandao mingine wasingesimama basi leo hii wangekuwa mbali sana.

Alaaniwe Airtel na Yule Profesa aliyepewa udhamini na Airtel ili aisambalatishe TTCL.
 
mbona wana 4G nenda kanunue line unaweka simu yeyote inayosapot 4G mi ninayo na iko poa sana kulinganisha na mitandao mingine na nilinunua baada ya kuona wengine mizinguo kwa DAR iko poa sana ....na wana lunch nchi nzima 2g,3g by december ila 4G itakua kwenye mikoa mikubwa tu ...mkuu kanunue line yao ya 4G then uje hapa utoe ushuhuda ukifanya comparison na makampuni mengine mi natumia mitandao voda,tigo,airtel na halotel lkn 4G YA ttcl ni better kuliko zote.......
Mkuu hiyo lunch ipo kila siku au ni siku moja moja tu? Na kuipata utaratibu wake ukoje?
 
Karibu sana katika kizazi cha T-tumefanikisha, sisi wengine tumeshawahi mapema huku na tunafurahia huduma ya kampuni yetu ya Kitanzania.
Tatizo hao jamaa wana mwendo wa kobe katika kujitanua, nipe dondoo kuhusu vifurushi vyao
 
Back
Top Bottom