Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.
Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko
"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"
Je kumkana Lwakatare ni dawa?
Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko
"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"
Je kumkana Lwakatare ni dawa?