Tsunami ya Kinana yaimaliza CHADEMA Gairo

Tsunami ya Kinana yaimaliza CHADEMA Gairo

ni kweli ilikuwa tsunami, cheki nyomi ya watu
IMG_8842.jpg

ilibidi kuwahonga hela waliohuduhria pia.
8.jpg
wale wazee walioahidiwa maisha bora tangu enzi za mwalimu na bado wanasubiri kuona hayo maisha bora licha ya kuishi katika nyumba za tembe
na maisha ya umaskini wa hali ya juu.
7.jpg

wanachadema wengi na wapinzani walirudisha kadi zao kama picha inavyojieleza.
10.jpg

hata wanafunzi wa shule walikuepo kudhihirsha maisha tsunami ni kwa kila rika.
13.jpg

KWELI CCM NI TSUNAMI NA INAZIDI KUPENDWA NA RIKA ZOTE.
PICHA KWA HISANI YA MICHUZI BLOG
 
Hawaelewi uharifu wa mtandao hao, hili la lwakatare lisiwazuge ni uharifu wa mtandao wa mutualize riz yalimtokea
 
Ziara ya Kinana mkoani morogoro si ya kichama ila anakagua biashara yake ya meno ya Tembo na juzi juzi kabla hajapakia yalikamatwa huko morogoro. Na anakagua kuona ni Tembo ngapi wamebaki mikumi na sehemu nyingine mkoani morogoro.
 
Mkutano wote wahudhuriaji hawazidi 200 sasa tena wanachama wapya 200 nakitu. Hii ni kali sana made in TZ.
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?
population ya Gairo ni gani?

kama kila wanapopita CCM wanazoa wanachama zaidi ya 200 wa CHADEMA, basi Kikwete hakupata hata 30% ya kura 2010.

Hutaki unaacha.
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?

Tutajie majina ya hao wenyeviti tuone
 
ni kweli ilikuwa tsunami, cheki nyomi ya watu
IMG_8842.jpg

ilibidi kuwahonga hela waliohuduhria pia.
8.jpg
wale wazee walioahidiwa maisha bora tangu enzi za mwalimu na bado wanasubiri kuona hayo maisha bora licha ya kuishi katika nyumba za tembe
na maisha ya umaskini wa hali ya juu.
7.jpg

wanachadema wengi na wapinzani walirudisha kadi zao kama picha inavyojieleza.
10.jpg

hata wanafunzi wa shule walikuepo kudhihirsha maisha tsunami ni kwa kila rika.
13.jpg

KWELI CCM NI TSUNAMI NA INAZIDI KUPENDWA NA RIKA ZOTE.
PICHA KWA HISANI YA MICHUZI BLOG

Nahitaji kamusi ili nijue maana ya tsunami..
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?

Mbona tunaambiwa CHADEMA ni chama cha kaskazini...sasa hao wanachama zaidi ya 250 tena eneo la Gairo tu...mbona ina-imply mambo tofauti?
 
Mkutano wote wahudhuriaji hawazidi 200 sasa tena wanachama wapya 200 nakitu. Hii ni kali sana made in TZ.

Na kati ya hao wasiozidi 200,wengi wao wamesombwa na malori toka morogoro mjini.Hawa jamaa wanajipa moyo sana,lakini ukweli ni kuwa watanzania wanataka mabadiliko.
 
Hata mi ningekuwa Gairo, yaani maisha yalivo magumu, mi kupewa elfu kumi nikasimama na kusema nimerudi CCM innipa hasara gani? Nadhani kipimo sahihi ni sanduku la kura. Mbona Arumeru walisha tufundisha unakula wapi na kura unapeleka wapi? chukueni tu hizo ni hela zenu, tena inabidi muwaongezee dau, siyo book tano na kumi, wakija tena anzieni na book ishirini!

Ila msisahau total system overhauling by 2015
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?

hao wenyeviti sita wa kata walioamia ccm wanadhihirisha kwamba sio wapiganaji walifkir cdm kuna posho kumbe ni kujitolea.hawana tofauti na mtela na juliana shonza na ni afadhali mamluki wanazidi kukimbia ili chama kibakiwe na ile cream ya watu wenye moyo na uchungu.pili hao 286 waliohama haimaanishi kwamba cdm imepata pengo wako wananchi wa gairo ambao hawana chama na ukitaka kujua itisha uchaguzi.
 
Sasa naamini kwamba ccm wamepaniki mwisho wameanza kazi ya kuipromote chadema, ni kama mchezo wa chemical ally wakati wa vita ya kumng‘oa saddam hussein anapigwa yeye af anatangazwa tumeua vikosi vyao vyote vya majini na nchi kavu!
Ccm wakiwa lumumba wanasema chadema iko kaskazini, wakienda magu wanasema maelfu ya wanachadema wamejiunga na ccm wanasahau kwamba magu iko kanda ziwa haipo kaskazini, kibaya ukitizama idadi ya watu kwenye mkutano wanaodai kuvuna maelfu watu hawazidi mia mbili ukichanganya na watoto! huu ni uhuni, Ccm kama mnataka kubalini kwanza kwamba chadema imeenea nchi nzima ili hata mkienda gairo hata kama mtakosa watu wa kuwasikiliza mnaweza kuwafurahisha makada wenu kwa kuwatangazia kwamba kuna watu wa chadema wamejiunga kwenye chama chenu, hapo mtaeleweka vinginevyo hata wana ccm wenyewe hawaamini taarifa zenu
 
JK mdini namba moja na ccm yake,lakini pia nimekuwa nikiendelea kuwaambia kila siku ya kwamba ni hatari sana kujidanganya huku ukijua unajidanganya.nyinyi endeleeni tu na rusha roho zenu lakini mtakuja kuisoma very soon.sana sana nawashauri watanzania kila anakopita huyo weka mbali na tembo muimarishe ulinzi wa polisi jamii maana tembo na nyara zingine ziko hatarini.
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?
Mkuu Kageuka samahani, JF tuzungumze ISSUES zinazohusu mustakabali wa nchi hii. Inasikistisha sana kwamba CCM wakienda mikoani ajenda ni CHADEMA, je hawana ajenda yo yote ya maendeleo. Pressing issues kwa watanzania zipo na wanatakiwa wazitatue. Wanachofanya CHADEMA ni sawa sawa kabisa kwani ni wajibu wao kama Government in Waiting! CCM wajipange kutatua kero za wananchi na siyo kuishambulia CHADEMA on personal issues. CCM will be popular on that basis only vinginevyo inaonekana CCM INATIKISWA SANA NA CHADEMA AMBAYO INA WABUNGE CHINI YA 50.
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?

Asante kwa taarifa nzuri... pokea zawadi yako...

Kadi zinabwagwa....jpg
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?

Tatizo la vidole kutoshirikiana na ubongo katika kuandika na badala yake vinashirikiana na masaburi ndo hili. Unaandika utadhani unaandikiwa!!
 
Kinana amewapokea wenyeviti sita wa CHADEMA wa kata za wilayani Gairo na wafuasi wao zaidi ya 286 katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Gairo jana.

Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA aliyekuwepo mkutanoni alisema kwa masikitiko

"hii tsunami balaa, sasa hapa CHADEMA tumebaki na nini? Nadhani swala la Lwakatare linakimaliza chama hiki,bora wangemkana tu tukabaki salama"

Je kumkana Lwakatare ni dawa?


Hapa ni loliondo na ushaidi huuu hapa .... acha kutumika kama kikarai cha zege

ccm.jpg
 
kachukue posho lumumba kimbia haraka nape kabla hajatoka ofisini.....na nyie wana jf mngemwelewa wala mcnge fikia hapo..ni kwamba anaomba ushauri..ebu msomeni tena labda ndo mtamsoma.
 
:yo:Kumkana Lwakatare sio dawa!!! CDM Wanapaswa wajue bado ni wachanga kwa CCM!!! Miaka 36 madarakani sio kitu rahisi na cha mchezo!! Wakaze buti na wawe wavumilivu!!!

Soma Hii makitu ya watu
.

"Either you are with them or against us in the fight for the downfall of CCM". Over time it's going to be important for you to know you will be held accountable for inactivity," However,"the win against CCM is not going to be a steady march forward across a front," "It is going to be probes and pushes and successes and steps back. That is the nature of it."
 
nilichoona pichani ni idadi kubwa ya wazee wakipewa kadi mpya baada ya kupoteza zile za awali...CDM..peopleeeeeeezzz.....poweeeeeeeer.
 
Back
Top Bottom