Ericus Kimasha
JF-Expert Member
- Oct 27, 2006
- 488
- 470
Mkuu aknowledge ubunifu wangu basi mkuu!!!
Hahahahaa!!!!
Press order kwa PM!!!
Bigirita,
Nawe usiache kumtaja "Dreamer" na mwandishi wa hili wazo ambaye ni Dada English Learner
Mkuu aknowledge ubunifu wangu basi mkuu!!!
Hahahahaa!!!!
Press order kwa PM!!!
Tshirt hii Arusha kwa sasa ni Tshs 25-40K, inapatikana pale duka la CHEAP-IN-TOWN jirani na SANYA BUREAU DE CHANGE.
wakati ule wa utawala wa george.w.bush wapinzani wake walichonga saaaana kuwa marekani imejichafua kisiasa nje,na mmarekani hana amani hata ya kutembea katika nchi yoyote kwa amani endapo tu atajulikana kuwa ni mmarekani,akaingia obama kwa mbwembwe zote watu wakajua marekani sasa itakuwa pepo ya dunia,haikuchukua hata mwaka nchi nzima ikakumbwa na mtikisiko wa uchumi ndani ya nchi,na nje ya nchi matatizo yakabaki pale pale.........
kwa kifupi:hata chadema hizo mbwembwe zitaisha wakishashika madaraka tu na mfumo wa omba omba ndio huo huo marekani na wafadhili wengine wameshawaowa kimawazo mda tu,hiyo chadema yenyewe mipasuko mitupu kinachowalinda ni kuwa wote mnagombania maslahi na lengo hamjalifikia,mkilifikia tu mtakuwa kama c.c.m.
maneno hayo yakumbukeni,sijawahi kupiga kura na sitopiga kura kwa kuwa sina imani na yoyte mpaka sasa na hata slaa ni mbwembwe tu,siku zipo mtakuja kuamini,kila mtu anapigia kelele maslahi yake na ya kundi flani,mwananchi na matatizo yake ni kama chambo tu,na yeye ndio muathirika wa mwisho
kasheshe ni kwamba haitochukua muda itapigwa marufuku chezeya ccm wewe.
kasheshe ni kwamba haitochukua muda itapigwa marufuku chezeya ccm wewe.
Mie siwezi nunua, sababu haijaspecify, nani dhaifu. Mwisho nionekane mie dhaifu buree.akhaaa.
Hoja DHAIFU!!wakati ule wa utawala wa george.w.bush wapinzani wake walichonga saaaana kuwa marekani imejichafua kisiasa nje,na mmarekani hana amani hata ya kutembea katika nchi yoyote kwa amani endapo tu atajulikana kuwa ni mmarekani,akaingia obama kwa mbwembwe zote watu wakajua marekani sasa itakuwa pepo ya dunia,haikuchukua hata mwaka nchi nzima ikakumbwa na mtikisiko wa uchumi ndani ya nchi,na nje ya nchi matatizo yakabaki pale pale.........
kwa kifupi:hata chadema hizo mbwembwe zitaisha wakishashika madaraka tu na mfumo wa omba omba ndio huo huo marekani na wafadhili wengine wameshawaowa kimawazo mda tu,hiyo chadema yenyewe mipasuko mitupu kinachowalinda ni kuwa wote mnagombania maslahi na lengo hamjalifikia,mkilifikia tu mtakuwa kama c.c.m.
maneno hayo yakumbukeni,sijawahi kupiga kura na sitopiga kura kwa kuwa sina imani na yoyte mpaka sasa na hata slaa ni mbwembwe tu,siku zipo mtakuja kuamini,kila mtu anapigia kelele maslahi yake na ya kundi flani,mwananchi na matatizo yake ni kama chambo tu,na yeye ndio muathirika wa mwisho
wakati ule wa utawala wa george.w.bush wapinzani wake walichonga saaaana kuwa marekani imejichafua kisiasa nje,na mmarekani hana amani hata ya kutembea katika nchi yoyote kwa amani endapo tu atajulikana kuwa ni mmarekani,akaingia obama kwa mbwembwe zote watu wakajua marekani sasa itakuwa pepo ya dunia,haikuchukua hata mwaka nchi nzima ikakumbwa na mtikisiko wa uchumi ndani ya nchi,na nje ya nchi matatizo yakabaki pale pale.........
kwa kifupi:hata chadema hizo mbwembwe zitaisha wakishashika madaraka tu na mfumo wa omba omba ndio huo huo marekani na wafadhili wengine wameshawaowa kimawazo mda tu,hiyo chadema yenyewe mipasuko mitupu kinachowalinda ni kuwa wote mnagombania maslahi na lengo hamjalifikia,mkilifikia tu mtakuwa kama c.c.m.
maneno hayo yakumbukeni,sijawahi kupiga kura na sitopiga kura kwa kuwa sina imani na yoyte mpaka sasa na hata slaa ni mbwembwe tu,siku zipo mtakuja kuamini,kila mtu anapigia kelele maslahi yake na ya kundi flani,mwananchi na matatizo yake ni kama chambo tu,na yeye ndio muathirika wa mwisho
Waanze kupiga marufuku zile za chagua JK......ari mpya, nguvu mpya na kasi zaidi.....manake maneno hayaendani na hali halisi.....hiyo ya dhaifu inaendana na uchumi wa nchi yetu!
kesho naenda likizo kwetu Bukoba nimebeba t-shirt za kutosha nawapelekea hii Dhaifu!
kasheshe ni kwamba haitochukua muda itapigwa marufuku chezeya ccm wewe.
Nembo ya mmea wa bangi walishindwa pia!
Tshirt hii Arusha kwa sasa ni Tshs 25-40K, inapatikana pale duka la CHEAP-IN-TOWN jirani na SANYA BUREAU DE CHANGE.