rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 13,167
- 16,424
Ni ujanja ujanja tu wafanyakazi wa tecno wenyewe hawatumii simu zao ni wateja wa samsung na iphoneTatizo kubwa tuwachane humu humu lens za camera zao za simu zinapungua ubora kadri inavyopiga picha nyingi yani kwa sisi wazee wa picha 100+ kwa siku ni week mbili zinaanza kutoka picha za maziwa na mawingu wingu ila tecno ni mnyama aisee ila sio mkali