Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,766
- 18,620
Ukweli mkuu, utakuta mtu anaiponda tecno nyuma ya keyboard ilihali ndiyo inayomwezesha aingie jf.JF hapa kila mtu tajiri, ila wengi wao ukikutana nao utawahurumia maana ni tofauti na wanavyojinasibu humu.
Nchi masikini Kama zetu hizi halafu anaibuka mtu anataka aonekane kisa anamiliki Samsung ya Tshs 380,000/= so sad