Huo mshahara si kidogo km nimtundu wa ku make waingereza wanasema hvi ' TAKE CARE OF THE POUND AND THE POUND WILL TAKE CARE ITSELF "
Mkuu kwakuwa umesoma sayansi olevo nenda UDOM kuna kozi ya Education mpya kwa diploma mkopo asilimia 100% pia ajira baada ya kumaliza ni uhakika directly from the govt kama unaweza fanya haraka application sababu deadline ni kesho kama sikosei,
Mimi napokea kama hiyo, naishi na wadogo zangu wawili(wanasoma), Mke Matumizi yangu ni kama ifuatavyo:-Unga 15kg(15elf), Mchele 15kg(25elf), Maharage 5kg(10elf), Dagaa(5elf), Sukari 5kg(10elf), Mkaa(15elf) Halafu namkabidhi waifu cash 80elf(total 160000, balance 100,000) na mwezi unaisha(Nipo Mwanza, Nb: inabidi uwe na mke mwelewa na kama upo peke yako(bachala) haikutoshi kamwe.
Muhimu pia ni kupata experience ya kazi na kimaisha - baada ya mwaka utajikuta ume eilimika na kuweza kuweka mipango mizuri. Usifikirie mambo ya kufeli - hayo yamepita na huwezi kubadili kitu muhimu pata somo humo ili uweze kufanikisha maisha yako katika kazi. Nakuombea mema
Muhimu pia ni kupata experience ya kazi na kimaisha - baada ya mwaka utajikuta ume eilimika na kuweza kuweka mipango mizuri. Usifikirie mambo ya kufeli - hayo yamepita na huwezi kubadili kitu muhimu pata somo humo ili uweze kufanikisha maisha yako katika kazi. Nakuombea mema
Usitake kuishi maisha ya mshahara wa Millioni....Utapata shida sana.....
Halafu pesa huwa haitoshi..
mim niko safarin, subiri nifike nitulie nitakupa mawazo ya busala mkuu
Asante sana.?.
Mimi napokea kama hiyo, naishi na wadogo zangu wawili(wanasoma), Mke Matumizi yangu ni kama ifuatavyo:-Unga 15kg(15elf), Mchele 15kg(25elf), Maharage 5kg(10elf), Dagaa(5elf), Sukari 5kg(10elf), Mkaa(15elf) Halafu namkabidhi waifu cash 80elf(total 160000, balance 100,000) na mwezi unaisha(Nipo Mwanza, Nb: inabidi uwe na mke mwelewa na kama upo peke yako(bachala) haikutoshi kamwe.