TSH 260,000 Mshahara kama ni wewe utafanya nini.

TSH 260,000 Mshahara kama ni wewe utafanya nini.

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,245
Reaction score
2,856
Ndg Watanzania mlioko ndani ya nchi na nyije ya nchi, Naombeni msaada..!

Mimi nimefeli form six mwaka 2012 katika shule ya fulani hapa Tanzania na kombi yangu ilikuwa ni PCM.
baada ya kufeli nikarudi nyumbani kijijini kwetu.
Familia Pamoja na wakajijij wakawa wamenitenga kutokana na kukomba hela za nyumbani kwa ada. hafu nikafeli
nikaamua kuja dar es salaam,
nikabahitaka kupata kuajiliwa katika kampuni fulani
mshahara wanatoa TSH 260,000.

Naombeni mawazo yenu nifanyaje? au niwekeze wap?

NB; Sihataji kejeli, kashafu n.k
kama unaona huwezi bora kaa kimnya.
 
sasa wew wataka kufany nin zaid, hutaki unaacha
baba angu alienizaa mimi, mwenye watoto nane saivi, na wajukuu wa 3, watoto wa3 washafunga ndoa,
uwo mshahara hajafikisha bado mpaka leo, bado miaka mi2 astaafu

nnachokwambia ni kua ridhika na ulonacho mdogo wangu, kama unasehemu nzr zaidi ya apo, acha uifuate,
sheti ukinai mtoto wa kiume, kwa sifa ulo nazo na mshahara unaopata kwa kuajiriwa si haba, chacharika fanya mambo mingine ya kujiongezea kipato, ila sio kulalamika kua pesa kidogo

kuna watu wanaitaka nafasi kama iyo........otherwise subiri matusi na kejel za watu humu, kwani ata wew umeileta hii khabari kwa mfumo wa dharau na kejel hali ya kua umeishia form 6 zero
 
Ndg Watanzania mlioko ndini ya nchi na nyije ya nchi, Naombeni msaada..!

Mimi nimefeli form six mwaka 2012 katika shule ya fulani hapa Tanzania na kombi yangu ilikuwa ni PCM.
baada ya kufeli nikarudi nyumbani kijijini kwetu.
Familia Pamoja na wakajijij wakawa wamenitenga kutokana na kukomba hela za nyumbani kwa ada. hafu nikafeli
nikaamua kuja dar es salaam,
nikabahitaka kupata kuajiliwa katika kampuni fulani
mshahara wanatoa TSH 260,000.

Naombeni mawazo yenu nifanyaje? au niwekeze wap?

NB; Sihataji kejeli, kashafu n.k
kama unaona huwezi bora kaa kimnya.

Yani hujui pesa ufanyie nini? Ndiyo maana ulifeli..pole sana!!
 
Hapo ulipo kuna nini cha kufanya ?

Wewe ishi maisha kulingana na kipato chako (ambacho kwa watanzania wengi ni kikubwa wengine hawapati hizo) kama nyumba ulikuwa unalipa pesa nyingi kwa mwezi jaribu kwenda kwenye nyumba ya bei rahisi zaidi.., ukizichanga au kama umejiunga saccoss na kama ukipata kiwanja /au kama una kiwanja jenga hata mbavu za mbwa amia kwako.., hizo pesa utakazosave kwenye rent zitakufanya uboreshe nyumba yako..

Ni vigumu mtu akushauri uwekeze vipi sababu hajui unafanya kazi wapi, kazi gani na muda wako upo vipi.., ila kama mnafanya wafanyakazi wengi unaweza ukawa unafanya biashara za kuwauzia wafanyakazi wenzako.., mfano kama ni nguo / viatu unachagua kwenye mitumba nzuri nzuri unazipiga pasi alafu pale kazini unawafika wadau (kama wanao uwezo) Point being cha kufanya kinategemea na mazingira..
 
sasa wew wataka kufany nin zaid, hutaki unaacha
baba angu alienizaa mimi, mwenye watoto nane saivi, na wajukuu wa 3, watoto wa3 washafunga ndoa,
uwo mshahara hajafikisha bado mpaka leo, bado miaka mi2 astaafu

nnachokwambia ni kua ridhika na ulonacho mdogo wangu, kama unasehemu nzr zaidi ya apo, acha uifuate,
sheti ukinai mtoto wa kiume, kwa sifa ulo nazo na mshahara unaopata kwa kuajiriwa si haba, chacharika fanya mambo mingine ya kujiongezea kipato, ila sio kulalamika kua pesa kidogo

kuna watu wanaitaka nafasi kama iyo........otherwise subiri matusi na kejel za watu humu, kwani ata wew umeileta hii khabari kwa mfumo wa dharau na kejel hali ya kua umeishia form 6 zero

Asante sana kwa mawazo yako ndg.
 
mim niko safarin, subiri nifike nitulie nitakupa mawazo ya busala mkuu
 
Mbona Walimu wa ngazi ya cheti hii ndo take home salary baada ya makato, na wanasomesha cha muhimu kujipanga
 
Huo mshahara hautoshi ila unakidhi,cha muhimu ishi kwa mipango punguza matumizi yasiyo muhimu. Ni hayo tu!
 
Tafuta mtoto wa mwenyekiti wa kijiji uoe ,watakuheshim wote.
NB; Sihataji kejeli, kashafu n.k
kama unaona huwezi bora kaa kimnya.
 
Ndg Watanzania mlioko ndini ya nchi na nyije ya nchi, Naombeni msaada..!

Mimi nimefeli form six mwaka 2012 katika shule ya fulani hapa Tanzania na kombi yangu ilikuwa ni PCM.
baada ya kufeli nikarudi nyumbani kijijini kwetu.
Familia Pamoja na wakajijij wakawa wamenitenga kutokana na kukomba hela za nyumbani kwa ada. hafu nikafeli
nikaamua kuja dar es salaam,
nikabahitaka kupata kuajiliwa katika kampuni fulani
mshahara wanatoa TSH 260,000.

Naombeni mawazo yenu nifanyaje? au niwekeze wap?

NB; Sihataji kejeli, kashafu n.k
kama unaona huwezi bora kaa kimnya.

Siku Zote Pesa Huwa Haitoshi Na Binadamu Hana Tabia Ya Kuridhika Kwangu Hiyo pesa Ni Kubwa Sana Hata Kama Nina Familia. Ni Aibu Kwa Kijana Wa Form Six Hujui Hiyo Pesa Utaiendelezaje, Kuna Watu Wanalipwa 40000 Lakini Maisha Yao Ni Zaidi Ya Anayepokea Milioni. RIDHIKA KAA CHINI TAFAKALI UNGEKUWA JIRANI YANGU NINGECHANA CHANA CHETI CHAKO CHA FORM SIX.
 
Siku Zote Pesa Huwa Haitoshi Na Binadamu Hana Tabia Ya Kuridhika Kwangu Hiyo pesa Ni Kubwa Sana Hata Kama Nina Familia. Ni Aibu Kwa Kijana Wa Form Six Hujui Hiyo Pesa Utaiendelezaje, Kuna Watu Wanalipwa 40000 Lakini Maisha Yao Ni Zaidi Ya Anayepokea Milioni. RIDHIKA KAA CHINI TAFAKALI UNGEKUWA JIRANI YANGU NINGECHANA CHANA CHETI CHAKO CHA FORM SIX.

Asante..!
 
Huo mshahara si kidogo km nimtundu wa ku make waingereza wanasema hvi ' TAKE CARE OF THE POUND AND THE POUND WILL TAKE CARE ITSELF "
 
Komaa kijana..! ajira ni ngumu kuyipata..! kwanza naomba umushukuru sana Mungu akusaidie.
 
Usitake kuishi maisha ya mshahara wa Millioni....Utapata shida sana.....

Halafu pesa huwa haitoshi..
 
Back
Top Bottom