Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,856
Ndg Watanzania mlioko ndani ya nchi na nyije ya nchi, Naombeni msaada..!
Mimi nimefeli form six mwaka 2012 katika shule ya fulani hapa Tanzania na kombi yangu ilikuwa ni PCM.
baada ya kufeli nikarudi nyumbani kijijini kwetu.
Familia Pamoja na wakajijij wakawa wamenitenga kutokana na kukomba hela za nyumbani kwa ada. hafu nikafeli
nikaamua kuja dar es salaam,
nikabahitaka kupata kuajiliwa katika kampuni fulani
mshahara wanatoa TSH 260,000.
Naombeni mawazo yenu nifanyaje? au niwekeze wap?
NB; Sihataji kejeli, kashafu n.k
kama unaona huwezi bora kaa kimnya.
Mimi nimefeli form six mwaka 2012 katika shule ya fulani hapa Tanzania na kombi yangu ilikuwa ni PCM.
baada ya kufeli nikarudi nyumbani kijijini kwetu.
Familia Pamoja na wakajijij wakawa wamenitenga kutokana na kukomba hela za nyumbani kwa ada. hafu nikafeli
nikaamua kuja dar es salaam,
nikabahitaka kupata kuajiliwa katika kampuni fulani
mshahara wanatoa TSH 260,000.
Naombeni mawazo yenu nifanyaje? au niwekeze wap?
NB; Sihataji kejeli, kashafu n.k
kama unaona huwezi bora kaa kimnya.