Truth exposed

Bobcheka

Member
Oct 17, 2013
56
42
FB_IMG_1486713209635.jpg
FB_IMG_1486713317080.jpg
FB_IMG_1486713390550.jpg
FB_IMG_1486713547638.jpg
FB_IMG_1486713692870.jpg
FB_IMG_1486831931446.jpg
FB_IMG_1486714539355.jpg
FB_IMG_1486714466868.jpg
FB_IMG_1486714320688.jpg
FB_IMG_1486714199481.jpg
FB_IMG_1486714414010.jpg
 
Dah, nimependa sana uwezo wa kuwaxa wa hawa watu. Hii ya Japan inanipa jibu sahihi kwanini wajapani ni watu wastaarabu na wanaojaliwa kuishi kiasi hiki, mzee wa miaka 75 bado anaenda kazini kama kawa tena kwa miguu. Wamarekani ni wauaji sana hapa duniani na haipo siku ntakaa kuwaona watu wa maana.

Mother's day ni kituko, kizazi hiki ni kizazi cha usaliti na kisicho jari kabisa. Upendo wao ni ule wa kufikirika zaidi kuliko kujitoa. Ni wabinafsi wakubwa na ni mizigo kwa wazazi wao
 
Kimsingi wajapan wako sawa coz ndo inatakiwa iwe hivyo chekechea Mtoto anaenda kuimba,kucheza ,kuhesab 1-10 Na Kula au kunywa uji.shule zetu hizo watoto wanakomazwa Tu ubungo.
 
Back
Top Bottom