Trump aliwatala wajinga,lakini asingetoboa kwa nchi makini.
Yawezekana akarudi kwani ubongo wa mabunge hayo ya Marekani unashindwa na akili ya mtoto mchanga wa Japan.
Kazi kukimbilia kulaumu nchi za kigeni, lakini China nayo imewawekea vikwazo akina Pompeo na kuwadhalilisha kama vidudu mtu.
Ujinga aliofanya Trump kwa miaka minne umefuta historia ya mafanikio ya demokrasia ilioduma zaidi ya miaka 200.