Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
.....na Obama alirudi juzi kati hapa pamoja na familia yake kwa ajili ya kutaliiAhaaa haaa haaa
Umenikumbusha,
Kuna mwaka walikuja marais watatu wa Marekani, Obama aliyekuweko madarakani na wastaafu Bush na Clinton. Walikaa siku kadhaa na walitembea maeneo mbalimbali Dar. Lkn binafsi sijaona mabadiliko saana.
Sent using Jamii Forums mobile app