Naibu balozi wa urusi katika umoja wa mataifa Dmitry Polyanskiy amesema Rais wa Urusi Vladimir Putin huenda akakutana na Rais wa Marekani Donald Trump
Hatua hiyo inaleta matumaini makubwa katika kumaliza mgogoro unaendelea kati ya Urusi na Ukraine, licha ya kutokuwepo kwa taarifa rasmi za ushiriki wa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy
Unatamani kusikia muafaka gani ukifikiwa na Marais Hawa wawili watakapokutana?
Source:Officialzungu_
Hatua hiyo inaleta matumaini makubwa katika kumaliza mgogoro unaendelea kati ya Urusi na Ukraine, licha ya kutokuwepo kwa taarifa rasmi za ushiriki wa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy
Unatamani kusikia muafaka gani ukifikiwa na Marais Hawa wawili watakapokutana?
Source:Officialzungu_