Trump: ‘I never said when attack on Syria would take place’

Trump: ‘I never said when attack on Syria would take place’

Cha kushangaza wapo Watu wengi sana humu ambao watamuamini 100%. Acheni tu hawa ' Wazungu ' watudharau Waafrika hakyanani.
Wameshamuamini mkuu,wewe tizama hata comments zao utaona.Jukwaa la I'nal forum limevamiwa na watoto aisee.
 
Wameshamuamini mkuu,wewe tizama hata comments zao utaona.Jukwaa la I'nal forum limevamiwa na watoto aisee.

Ukizipitia kwa umakini mkubwa hizo ' comments ' zao hutopata shida kujua aina ya tatizo kubwa la akili / upeo walilonalo Watanzania wengi na ambao hao hao kutwa wanahubiri kuwa wao ni Wasomi ( Intellectuals ) wa Taifa hili. Ama hakika Kazi ipo hakyanani!
 
Ukizipitia kwa umakini mkubwa hizo ' comments ' zao hutopata shida kujua aina ya tatizo kubwa la akili / upeo walilonalo Watanzania wengi na ambao hao hao kutwa wanahubiri kuwa wao ni Wasomi ( Intellectuals ) wa Taifa hili. Ama hakika Kazi ipo hakyanani!
Point!
Yaani hii nchi in watu wa ajabu sana,watu wa udaku udaku tu,no wonder tupo hapa tulipo.Mleta mada sidhani hata kama ameelewa ile tweet ya Trump,au labda anafanya makusudi kutokaka na kuadhiriwa na udaku.
 
Yani unandika kiudaku na kiuChocheziii..be professional bro..ukweli ni kwamba hawawezi kuvamia km hakuna ushahidi wa hayo madai..ss hiyo "kwisha habari yake ya nini!!??"
Na huko Iraq walipata ushahidi mpaka wakavamia...?
 
Na huko Iraq walipata ushahidi mpaka wakavamia...?
Hujaelewa nilichomaanisha mkuu..soma tena..

For the record: Hakukuwa na ushahidi wowote wa silaha za maangamizi nchini iraq..waziri mkuu wa uingereza alikiri hilo kwamba walifanya makosa kujihusisha na hiyo vita.
 
Ajuae madhara ya vita hawez kukashifu kitendo cha Trump kuepuka vita
 
Hujaelewa nilichomaanisha mkuu..soma tena..

For the record: Hakukuwa na ushahidi wowote wa silaha za maangamizi nchini iraq..waziri mkuu wa uingereza alikiri hilo kwamba walifanya makosa kujihusisha na hiyo vita.
Nimekuelewa ila wewe hujaelewa ulicho kiandika...

Ili umuhukumu mtu kitu cha kwanza ni ushahidi, lakini sio una hukumu kisha ndio upate ushahidi. Hakuna jambo kama hilo
 
Mkuu watanzania wanameathiriwa sana na mambo ya umbea.Yaani kila kitu wanakichukulia kimbea mbea tu.
Wamerithi toka kwa Muingereza, kwani huwaoni waingereza walivyo wambea wambea pia, hahahaha. Madhara ya mwingereza hayo, bora ungebaki chini ya mjerumani tu mpaka mwisho kwanza tungekuwa tumeendelea mno. Hivi kwanini hatuwafungulii waingereza kesi ya kutuibia mali zetu na kujenga Nairobi kenya walikokuwa wameweka makao yao makuu? Walikabidhiwa kutuangalia ila si kutuibuia mali zetu nina moto nao wale basi tu sina uwezo
 
Badala ya kumshukuru Mungu hamna vita unashangilia sababu kaufyat...hizi nazo ni aina za akili...unazani wana akili za kitoto kama zako? Wanawaza how many barrels of blood could be from the innocence sasa nduguyetu unashangilia kuufayat...Hapana shaka hata Korea ulishangilia wakati Seoul ingekua majivu saivi...acha ushabiki kijana
Tatizo hawa vijana wa darasa la saba wamejaa humu wanashabikia vita, hawajui vikianza tu hata wao na kelele zao hawatapona. Utoto umewazidi plus story za vijiwe vya coffee.
 
Yani unandika kiudaku na kiuChocheziii..be professional bro..ukweli ni kwamba hawawezi kuvamia km hakuna ushahidi wa hayo madai..ss hiyo "kwisha habari yake ya nini!!??"
sasa wakati trump anatwitte kwamba ndani ya saa 48 ataishambulia syiria alikuwa amekunywa mvinyo mkuu?
 
Ukizipitia kwa umakini mkubwa hizo ' comments ' zao hutopata shida kujua aina ya tatizo kubwa la akili / upeo walilonalo Watanzania wengi na ambao hao hao kutwa wanahubiri kuwa wao ni Wasomi ( Intellectuals ) wa Taifa hili. Ama hakika Kazi ipo hakyanani!
mbona wewe unamsifia huyo uliyemweka kwenye avatar yako na nchi yake? itabidi uanze wewe kwanza kujirekebisha.
 
Badala ya kumshukuru Mungu hamna vita unashangilia sababu kaufyat...hizi nazo ni aina za akili...unazani wana akili za kitoto kama zako? Wanawaza how many barrels of blood could be from the innocence sasa nduguyetu unashangilia kuufayat...Hapana shaka hata Korea ulishangilia wakati Seoul ingekua majivu saivi...acha ushabiki kijana
Kwani alipokuwa anatishia kushambulia Syria hakujua kuwa kwa kufanya hivyo damu itamwagika?? Sijui alijisahau akadhani anamtishia Libya na Iraq?
Wenye akili zao walijua Trump lazima ale kona! Kama alikula kona mbele ya Kiduku wa Korea ya kaskazini sembuse Putin? Alijifanya kutuma meli za kivita Korea ya kaskazini Kim akamwambia zikivuka mstari Fulani nazizamisha! Mzee mzima akala kona maana aliona kiduku hajui kubeep ni kweli atapiga!!!
 
Back
Top Bottom