Trump: ‘I never said when attack on Syria would take place’

Trump: ‘I never said when attack on Syria would take place’

Can Arab league under the umbrella of OPEC revive petrodollar exchange system and opt for dinar. ..!??
Thinking aloud!
Anything is possible,the problem is when and how to do it.Shida ingine hawa Arab league wengi ni USA Puppets.
 
Badala ya kumshukuru Mungu hamna vita unashangilia sababu kaufyat...hizi nazo ni aina za akili...unazani wana akili za kitoto kama zako? Wanawaza how many barrels of blood could be from the innocence sasa nduguyetu unashangilia kuufayat...Hapana shaka hata Korea ulishangilia wakati Seoul ingekua majivu saivi...acha ushabiki kijana
Anamshukiru mungu baada ya mfadhili wa ugaidi kuanza kuufyata
 
Yani unandika kiudaku na kiuChocheziii..be professional bro..ukweli ni kwamba hawawezi kuvamia km hakuna ushahidi wa hayo madai..ss hiyo "kwisha habari yake ya nini!!??"
Uvamiz wa Iraq ushahid uliuona?
 
Yani unandika kiudaku na kiuChocheziii..be professional bro..ukweli ni kwamba hawawezi kuvamia km hakuna ushahidi wa hayo madai..ss hiyo "kwisha habari yake ya nini!!??"
Iraq ilivamiwa, je kuna ushahidi wowote wa silaha za maangamizi ulionyeshwa??
 
Marekani mda huu imejiwekeza kwenye kukuza uchumi wake na pia kujingiza kwenye vita ni muendelezo wa umwagaji damu
 
Badala ya kumshukuru Mungu hamna vita unashangilia sababu kaufyat...hizi nazo ni aina za akili...unazani wana akili za kitoto kama zako? Wanawaza how many barrels of blood could be from the innocence sasa nduguyetu unashangilia kuufayat...Hapana shaka hata Korea ulishangilia wakati Seoul ingekua majivu saivi...acha ushabiki kijana
Alivyotweet kuishambulia Russia ulimpa mawaidha gani,nikishangilia au nisipoweka shangalia haiwezi saidia chochote
 
Yani unandika kiudaku na kiuChocheziii..be professional bro..ukweli ni kwamba hawawezi kuvamia km hakuna ushahidi wa hayo madai..ss hiyo "kwisha habari yake ya nini!!??"
waliwahi kuvamia kwingineko pasipo huo ushahidi mkuu.
 
russia the red army,wanaadamu waliozaliwa kwa ajili ya kupigana na kushinda vita.WARUSI
 
Yani unandika kiudaku na kiuChocheziii..be professional bro..ukweli ni kwamba hawawezi kuvamia km hakuna ushahidi wa hayo madai..ss hiyo "kwisha habari yake ya nini!!??"
Iraq mbona ushahidi ulikuwa wazi kuwa Saddam hakuwa na siraha za maangamizi na bado walivamia?
Hapa kasanda tu mkwara wa Russia umemuogopesha hayo mengine ni kujipa moyo kama alihitaji ushahidi hayo masaa aliyokuwa ametoa aliyatoa kwa sababu gani?
 
Kweli wewe ni jambo la kumshukuru mungu hakuna vita wewe unataka vita wewe unaelekea ni MTU hatari sana
 
Russia baby
God bless NK
Peace be upon my distant brother mr Assad
Kila la kheri bwana Putin
M arekani ni nchi ambayo sasa hivi inaweza kuvimbiwa hata na Burundi na bado ikaufyata mkia,for the first time we're witnessing the shift/balance of power,leo nakiri rasmi US sio super power tena ,Marekani haikuwa nchi ya kumwambia mtu haangamize silaha zake za nyuklia mara mbili lkn cha ajabu eti leo anaomba mazungumzo na kiduku.
Aliotoa masaa 24/72 kabla ya kuanza kuachia madude syria lkn leo babu kaja na kituko kingine Twitter baada ya kuambiwa atulize ball na Putin.
View attachment 742856

Mbona katika hiyo ' Twitter ' yake Rais Trump sioni ni wapi amesema au ameonyesha ' Kuufyata ' kama unavyojitahidi kuhangaika kutuaminisha?
 
Huja gundua adi mda huu huyu mzee ana beep hana salio!!?
Mimi naongelea maana ya ile tweet ya Trump,Je maana yake ndio hiyo mleta mada aliyoandika?.Kama Huwezi kujibu kaa kimya.
 
Mbona katika hiyo ' Twitter ' yake Rais Trump sioni ni wapi amesema au ameonyesha ' Kuufyata ' kama unavyojitahidi kuhangaika kutuaminisha?
Mkuu watanzania wanameathiriwa sana na mambo ya umbea.Yaani kila kitu wanakichukulia kimbea mbea tu.
 
Mkuu watanzania wanameathiriwa sana na mambo ya umbea.Yaani kila kitu wanakichukulia kimbea mbea tu.

Cha kushangaza wapo Watu wengi sana humu ambao watamuamini 100%. Acheni tu hawa ' Wazungu ' watudharau Waafrika hakyanani.
 
Back
Top Bottom