MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 May 28, 2012 #2 Huyo mix bwana....not 100% african.
Allien JF-Expert Member Jul 6, 2008 5,546 1,861 May 28, 2012 Thread starter #3 MadameX said: Huyo mix bwana....not 100% african. Click to expand... The beauty is African. No extra makeups like your Avatar! lol
MadameX said: Huyo mix bwana....not 100% african. Click to expand... The beauty is African. No extra makeups like your Avatar! lol
aikaruwa1983 JF-Expert Member May 6, 2011 1,398 1,499 May 28, 2012 #4 ukiwa nae huyu hata utafutaji wa hela unakuwa wa hali ya juu........
Allien JF-Expert Member Jul 6, 2008 5,546 1,861 May 28, 2012 Thread starter #5 aikaruwa1983 said: ukiwa nae huyu hata utafutaji wa hela unakuwa wa hali ya juu........ Click to expand... Umeona eeh . . .
aikaruwa1983 said: ukiwa nae huyu hata utafutaji wa hela unakuwa wa hali ya juu........ Click to expand... Umeona eeh . . .
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 May 28, 2012 #7 Comrade Allen Umemtoa wapi huyu? pure! aisee hongera vyovyote iwavyo hata kwa kuipata tu hii picha yatosha kukupongeza
Comrade Allen Umemtoa wapi huyu? pure! aisee hongera vyovyote iwavyo hata kwa kuipata tu hii picha yatosha kukupongeza
N ndomyana JF-Expert Member Jan 24, 2012 5,511 2,034 May 28, 2012 #8 Duu,. Hyo kifua had nimeogopa haoni km mazito sana
J JATELO1 JF-Expert Member Oct 31, 2011 1,230 301 May 28, 2012 #9 Allien said: The beauty is African. No extra makeups like your Avatar! lol Click to expand... Mkuu umenichekesha kweli. Vipi mkuu wale vimodo wa kwenye thread yako ya Kwaito wanapatikana wapi?
Allien said: The beauty is African. No extra makeups like your Avatar! lol Click to expand... Mkuu umenichekesha kweli. Vipi mkuu wale vimodo wa kwenye thread yako ya Kwaito wanapatikana wapi?
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,958 93,939 May 28, 2012 #10 kafanana na mamsapu wangu, almanusura nipige yowe kuwa wakware washaleta dhuluma...ila nilipomtazama tu hayo macho nikang'amua lahaulah si yeye.
kafanana na mamsapu wangu, almanusura nipige yowe kuwa wakware washaleta dhuluma...ila nilipomtazama tu hayo macho nikang'amua lahaulah si yeye.
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 May 28, 2012 #11 MadameX said: Huyo mix bwana....not 100% african. Click to expand... MadameX, Sasa huu ni wivu! Haya na wewe kwenye avatar yako ni Truly Zanzibarian Beauty. furahi basi nipe hata like.
MadameX said: Huyo mix bwana....not 100% african. Click to expand... MadameX, Sasa huu ni wivu! Haya na wewe kwenye avatar yako ni Truly Zanzibarian Beauty. furahi basi nipe hata like.
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 May 28, 2012 #12 hapo kweli kuna mixer embu angali hii kitu natural cha ukweli, umeonaa...?
babe S JF-Expert Member Dec 12, 2011 3,879 20,853 May 28, 2012 #13 mathematics said: hapo kweli kuna mixer embu angali hii kitu natural cha ukweli, View attachment 54833 umeonaa...? Click to expand... yap hii ndiyo african beauty
mathematics said: hapo kweli kuna mixer embu angali hii kitu natural cha ukweli, View attachment 54833 umeonaa...? Click to expand... yap hii ndiyo african beauty
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 May 28, 2012 #14 Allien kazi unayo! Uzuri wa kwenye picha ungekuwa ndio kila kitu maisha yangekuwa matamu sana. We haya wee! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Allien kazi unayo! Uzuri wa kwenye picha ungekuwa ndio kila kitu maisha yangekuwa matamu sana. We haya wee!