Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Kila Jumatatu saa tatu Usiku Redio Maria Inarusha Kipindi Kiitwacho Wanamaridhiano.
Kipindi cha jana kilikua ni marudio ya Jumatatu iliyopita.
Now comes the story.
Kuna dada mmoja ambaye ni Mhasibu katika shirika moja hapa Tanzania.
Alufunga ndoa na bwana mmoja pale Chuo kikuu cha Dar es salaam miaka minne iliyopita. Katika kanisa la KKT.(huwa pale dini zote za kikristu hutumia Jengo moja)
Kuna kipindi huyu dada alimwambia mme wake kuwa amepata contract job Arusha. Kwa upendo mume wake huyu alichukua gari na kumsindikiza mwenzi wake Arusha mpaka hotel aliyofikia.
Kwasababu mume wake hakuhitaji kwenda iliko ofisi mpya ya mkewe ilimbidi Kesho yake
arudi Dar es salaam kuendelea na majukumu yake. Huyu mwanamama alikua anaka mpaka miezi sita na zaidi bila kuonana na huyu mumuwe.
Kila mume wake alipotaka kwenda kumtembelea Arusha huyu mama alitoa vijisababu.
Oh! ''Huwa nabanwa sana na kazi so natoka usiku sana haina haja wewe uje, wacha
nitafute muda wa kujiiba nije mimi Dar''
Storry zikawa ndio hivyo.
Wiki mbili zilizopita, Huyu dada amefariki dunia akiwa katika harakati za kujifungua. Huyu mume wake alipo pata taarifa aliamua kufunga safari mpaka Arusha.
Cha ajabu alikuta huyu mwanamama an mume mwingine wa ndoa, na yule mwnao wa kwanza
jina la baba na la huyu mume wa pili.
Tafrani ilitokea kwa nani ni mume halali wa kuuzika mwili!!
hadi sasa bado huu mwili haujazikwa.
my dear ladies, please be careful jamani
Kipindi cha jana kilikua ni marudio ya Jumatatu iliyopita.
Now comes the story.
Kuna dada mmoja ambaye ni Mhasibu katika shirika moja hapa Tanzania.
Alufunga ndoa na bwana mmoja pale Chuo kikuu cha Dar es salaam miaka minne iliyopita. Katika kanisa la KKT.(huwa pale dini zote za kikristu hutumia Jengo moja)
Kuna kipindi huyu dada alimwambia mme wake kuwa amepata contract job Arusha. Kwa upendo mume wake huyu alichukua gari na kumsindikiza mwenzi wake Arusha mpaka hotel aliyofikia.
Kwasababu mume wake hakuhitaji kwenda iliko ofisi mpya ya mkewe ilimbidi Kesho yake
arudi Dar es salaam kuendelea na majukumu yake. Huyu mwanamama alikua anaka mpaka miezi sita na zaidi bila kuonana na huyu mumuwe.
Kila mume wake alipotaka kwenda kumtembelea Arusha huyu mama alitoa vijisababu.
Oh! ''Huwa nabanwa sana na kazi so natoka usiku sana haina haja wewe uje, wacha
nitafute muda wa kujiiba nije mimi Dar''
Storry zikawa ndio hivyo.
Wiki mbili zilizopita, Huyu dada amefariki dunia akiwa katika harakati za kujifungua. Huyu mume wake alipo pata taarifa aliamua kufunga safari mpaka Arusha.
Cha ajabu alikuta huyu mwanamama an mume mwingine wa ndoa, na yule mwnao wa kwanza
jina la baba na la huyu mume wa pili.
Tafrani ilitokea kwa nani ni mume halali wa kuuzika mwili!!
hadi sasa bado huu mwili haujazikwa.
my dear ladies, please be careful jamani