True story kumhusu ndugu yangu.


FF nakushukuru kwa IQ yako pana ni kweli Mz Karama alikua si raia wa saudia alikua ametokea Yemen ya kusini, baadae nitakuPm kwa habari zaidi.
 
kwani inaruhusiwa kuingia jela na vipuri sio unaandikisha ndo unaviacha ili ukitoka upewe?

Hakufungwa jela huyo, alikuwa ni kwenye kituo cha deportation. Ambacho wanawekwa "illegal immigrants" wakingoja kusafirishwa, hapo hata kula kuna Restaurant, kama una hela yako, unakula unavyopenda, unavaa unavyopenda unangoja safari. Kama una nauli na passport basi hukai kabisa, unasafirishwa.
 
unamalizia lini nina hamu ya kukipata kisa kamili

Muda si mrefu dada yangu wa imani nitaimalizia kuna gari naitengeneza ndy inalambia muda, mara nimeshika spana mara simu, but NAWAOMBA MNIAMINI HII SI INSHU (ISSUE) YA KUBUNI.
NI TRUE STORY NA JINA LA MZ. KARAMA NI JINA HALISI NA YALIOBAKI NDY MAJINA MIDOSHO.
 

okay thanx n big up mamie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…