wakati mwingine...inabidi uachane na mtu tu..hujazaliwa nae...
kweli mkuu..wakati mwingine unaweza kusema mtu kalogwa....kang'ang'ania kweli mpaka unasema ni nini hichi...ukiuliza unaskia eti anampenda....whaaat?True. Maisha yenyewe haya mafupi, stress za nini?
kweli mkuu..wakati mwingine unaweza kusema mtu kalogwa....kang'ang'ania kweli mpaka unasema ni nini hichi...ukiuliza unaskia eti anampenda....whaaat?
yaaap thats the right answer....unakua possessed....hundred percent controlled...wanaita bullying wenyewe!Hatari!sjui inakua ni nini hasa kinakuwa kinatokea,unakuwa possesed au!mh
Ila mama wakwe, me I dnt why wanakuwa na tabia za kuwachukia wenga wao, kwenye harusi wanapiga vigelegele hadi wanataka kupasuka, watoto wakianza kuishi u wanaanza chokochoko. Mimi ni mwanamke nina watoto but namuomba Mungu sana asinipe hiyo roho ya chukipindi watoto wangu watapofikia umri wa kuwa na wenzi wao