True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Nzehe Pettymagambo mume wao Yunge's hebu rudi, hii ni Jf ina kauli chafu na safi, hivyo usiangalie wanaokukosea heshima bali tuangalie sisi wengine tunaovutiwa na kujifunza kutokana na simulizi yako
 
Hajawahi kukuvuta uje kusoma ni wewe na kiherehere chako, hebu muache kujipa umuhimu kwenye mambo yasiyowahusu. Msiwe kama watoto wa kike ambao wanataka kujishobokesha kwa mwanaume asiye na time nao, balance shobo na uchape lapa ukiona ni uongo. Hizo tabia mnazoleta wanaume hatuna, msitake tuwaone homoni za kike zimewazidi
 
Hajawahi kukuvuta uje kusoma ni wewe na kiherehere chako, hebu muache kujipa umuhimu kwenye mambo yasiyowahusu. Msiwe kama watoto wa kike ambao wanataka kujishobokesha kwa mwanaume asiye na time nao, balance shobo na uchape lapa ukiona ni uongo. Hizo tabia mnazoleta wanaume hatuna, msitake tuwaone homoni za kike zimewazidi
Yaani Hawa watu natamani jf ingekuwa na sehemu ya VN Ila bahati yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom