Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Anatafuta mchumba mwenye kazi ila sio mwalimuNimeibuka![]()
![]()
![]()
Anatafuta mchumba mwenye kazi ila sio mwalimuNimeibuka![]()
![]()
![]()
Angetoa wasifu wake kwanza.yeye mwenyewe hana kazi halafu anamtaka mwenye kaziAnatafuta mchumba mwenye kazi ila sio mwalimu
hajui wenye kazi wanawataka wafanyakazi wenzao.Kazi mpaka amalize chuo. Labda anatafuta sponsor huwezi juaAngetoa wasifu wake kwanza.yeye mwenyewe hana kazi halafu anamtaka mwenye kazi![]()
![]()
![]()
hajui wenye kazi wanawataka wafanyakazi wenzao.
Angesema anatafuta sponsor tumuelewe kabisaKazi mpaka amalize chuo. Labda anatafuta sponsor huwezi jua
Hahahah anatafuta mchumba ili baadae awe mume.Angesema anatafuta sponsor tumuelewe kabisa
Mkuu umenichekesha sanaaa"na sisi wenye sifa hizo, hatutaki wasichana kama wewe kuwaoa mwiiiiiiiiko"

Hapa naona kama ni kudanganyana tu. Hivi ni nani aliyewahi kupata partner/mke/mme kupitia njia hii kwa watu wenye majina bandia na uhusiano huu upo na unadumu mpaka leo?
Cheki huyu naye anataka "kuolewa" lakini kwa sharti la kutotaka walimu bila hata kueleza sababu at same times yeye hasemi ni nani (polisi, mjeshi, jini au mama lishe japo kajisema kuwa ni student with no justifications!)
Inawezekana huyu ni "dume" anataka kutuchora na tu hapa na kupoteza muda wa watu hapa. Nashauri uweke vyema request yako ionenye clarity ili kila asomaye akujue kuwa you are serious, pia usijiwekee mipaka ya aina ya mwanaume in terms of professional (i.e kubagua walimu) kwani siku zote mume/mke bora anatoka kwa MUNGU WETU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NA VYOTE VILIVYOMO TUKIWEMO SISI BINAADAMU!!
Sorry, kama nitakukera kwa comment yangu!
wewe unatafuta mchumba au pesa za mchumba! huwezi kupata wewe mbona huna iweje unataka mwenye nacho?Mimi ni msichana wa miaka 24 nipo chuo kwa sasa, natafuta mchumba awe na kazi yake ila siyo mwalimu asiwe mfupi wala mrefu mengine tutawasiliana baada ya kufahamiana.
Karibu PM