Treni imesha anza kazi, ila inafanya kazi Gambishi, maana tukiileta Dar MK254 na @Wakenya wenzake watairoga ikatike vipande vipandeUle mradi wa SGR dar to Moro umeishia wapi??
Ww unataka kuua biashara za watu za mabasi. ...kaa kimya usiwaamshe sisi tumepiga mpunga sn kwenye hii project. ..kaa kimya nduguUle mradi wa SGR dar to Moro umeishia wapi??
mtashangazwa na SamiaCCM haijawahi kufaulu ktk Jambo lolote. Wamekuja na kisingizio kuwa mkandarasi wa kuleta vichwa vya treni amekosa winchi za kuviinulia hivyo vichwa ili vipakizwe kwenye meli.
Huyu huyu Samia anayekopa mikopo ili alipe mishahara ya wafanyakazi ama Samia mwingine?mtashangazwa na Samia
Abood na bm wakikuskia, shauri yakoUle mradi wa SGR dar to Moro umeishia wapi??
Nimemsikia Samia dakika 1 iliyopita akisema tutasafiri kutoka Dar-Kigoma kwa SGR ifikapo 2028! Duh bado tuna muda wa kusubiri.Ule mradi wa SGR dar to Moro umeishia wapi??
Treni imesha anza kazi, ila inafanya kazi Gambishi, maana tukiileta Dar MK254 na @Wakenya wenzake watairoga ikatike vipande vipande
Ule mradi wa SGR dar to Moro umeishia wapi??
CCM chama cha majingaLakini tukiweka utani pembeni, hivi nini kimekwamisha huo mradi maana mlianza kutupigia makelele kwamba ikifika 2019 hapo Dar-Moro mtakua mnateleza kwa SGR ya umeme. Leo tunaelekea 2024.....
Watu wapo bize kuwaonesha watanzania kuwa ule mradi ulikuwa white elephantUle mradi wa SGR dar to Moro umeishia wapi??
😂😂😂😂 Iko kazi sana kibongo bongoHuyu Samia anayekopa mikopo ili alipe mishahara ya wafanyakazi ama Samia mwingine?
Sio 2024 tu ni mpaka mwisho wa kalenda hakuna kitu paleLakini tukiweka utani pembeni, hivi nini kimekwamisha huo mradi maana mlianza kutupigia makelele kwamba ikifika 2019 hapo Dar-Moro mtakua mnateleza kwa SGR ya umeme. Leo tunaelekea 2024.....