Treni ya SGR Kenya(Madaraka Express) yabeba abiria milioni 2 hadi sasa; matarajio yalikuwa abiria milioni 1.7 ifikapo Juni 2019

pingli-nywee

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
11,923
13,344


Kufikia hiyo jana abiria ambao wametumia Madaraka Express, huduma ya treni ambayo ilizinduliwa baada ya reli ya SGR Nairobi Mombasa kukamilika, walifika milioni mbili. Hii ni tofauti na target na mahesabu ambayo wataalamu walipiga wakitabiri kwamba ifikapo Juni 2019 huduma hiyo itakuwa imesafirisha abiria milioni 1.7.

Huduma hiyo imerahisisha sana usafiri wa abiria na mizigo pia kutoka Mombasa kuja Nairobi na Nairobi kwenda Mombasa na imekuwa maarufu sana na abiria kwenye route hiyo.
 
Kufikia hiyo jana abiria ambao wametumia Madaraka Express, huduma ya treni ambayo ilizinduliwa baada ya reli ya SGR Nairobi Mombasa kukamilika, walifika milioni mbili. Hii ni tofauti na target na mahesabu ambayo wataalamu walipiga wakitabiri kwamba ifikapo Juni 2019 huduma hiyo itakuwa imesafirisha abiria milioni 1.7. Huduma hiyo imerahisisha sana usafiri wa abiria na mizigo pia kutoka Mombasa kuja Nairobi na Nairobi kwenda Mombasa na imekuwa maarufu sana na abiria kwenye route hiyo. https://www.standardmedia.co.ke/bus.../madaraka-express-clocks-2-million-passengers

kubeba abiria sio hoja na hoja ni kutengeneza revenue mwaka wa kwanza tu mumekalia ukuni wa 10b loss so hata ubebeb abiria million 10 lakini ikiwa bado ina create loss my friend andika neno hili kwa mbele kua white elephant😂😂😂👏👏👏
 
Madaraka Express ilizinduliwa mwaka jana, Mei. Naona mwingine hapa anasema eti ina miaka miwili. 96.3% ya ticket zote zimekuwa zikiuzwa, anayesema abiria ni wachache kwa treni ya masafa marefu kama hiyo sijui anatoa takwimu zake wapi. Manufaa kwa uchumi wa Kenya ni mara kumi zaidi ya 'operational losses' ambazo huwa zinategemewa kwenye miradi mipya kama hiyo. Madaraka express kufikia Mei mwaka huu ilikuwa imeingiza 1bn KES kwenye mwaka wake wa kwanza bila ku'factor in' huduma yao ya kubeba mizigo.
 
Madaraka Express ilizinduliwa mwaka jana, Mei. Naona mwingine hapa anasema eti ina miaka miwili. 96.3% ya ticket zote zimekuwa zikiuzwa, anayesema abiria ni wachache kwa treni ya masafa marefu kama hiyo sijui anatoa takwimu zake wapi. Manufaa kwa uchumi wa Kenya ni mara kumi zaidi ya 'operational losses' ambazo huwa zinategemewa kwenye miradi mipya kama hiyo. Madaraka express kufikia Mei mwaka huu ilikuwa imeingiza 1bn kwenye mwaka wake wa kwanza bila ku'factor in' huduma yao ya kubeba mizigo.
Mkule samaki plastiki za china kabisa, otherwise mtajuta
 
Hebu tuongee na ninyi wakenya mpate kujua usafiri kwa upande wa Dar to Dodoma.
Tuanza:-
Kila siku Mabasi ya Shabby Hutoka Dar mabasi 6 na hutoka Dodoma mabasi 6
Mabasi ya Shabby hubeba abiria 60+
Sasa tuchukue wastani wa abiria 50 so kwa mwaka Shabby pekee itabeba abiria
60x12x365 = 219,000
Kuna kampuni zaidi ya 10 zinafanya biashara ya kusafirisha abiria kati ya Dar na Dodoma.
Kuna companies zina mabasi zaidi ya 12 kwa siku.
Sasa tuseme kila company inabeba abiria kwa wastani wa 150,000 kwa mwaka maaba yake 10x150,000 =(1,500,000 + 219,000)
Total itakuwa 1,719,000 kwa mwaka.
For two year inakuwa 1,719,000x2 = 3,438,000 abiria.
Nauli ya kwenda Dodoma ni wastani wa Tsh. 18,000 so kwa miaka miwili revenue itakuwa
3,438,000x18,000 = 61,884,000,000
Ni sawa na USD 26,868,795.12

Tunataka kujua nauli ya SGR toka Mombasa kuja Nairobi.
 
How about revenues I hear tickets r subsidised!
Kuhusu revenue na seat occupancy soma #14. Alafu si ni wewe tu ndiye uliyeleta habari hapa ukilialia kwamba nauli za Madaraka Express zimepandishwa? Miezi mingi tu iliyopita, baada ya muda wa zile nauli promotional za awali kuisha. Memory yako ndio imeanza kuingia kutu ama ni yale matatizo yako ya kawaida ya kucopy and paste habari bila kusoma? Retire inanukiaaa!
 
Kuhusu revenue na seat occupancy soma #14. Alafu si ni wewe tu ndiye uliyeleta habari hapa ukilialia kwamba nauli za Madaraka Express zimepandishwa? Miezi mingi tu iliyopita, baada ya muda wa zile nauli promotional za awali kuisha. Memory yako ndio imeanza kuingia kutu ama ni yale matatizo yako ya kawaida ya kucopy and paste habari bila kusoma? Retire inanukiaaa!
Nauli ni Ksh 700 Mbona rahisi sana.
 
Nauli ni Ksh 700 Mbona rahisi sana.
Umesahau kuna huduma ya kubeba mizigo pia? Ambayo inachapa route na mzigo double stack. Alafu hiyo nauli unayotumia kufanya mahesabu yako ilikuwa ni promotional fares za miezi mitatu ya kwanza baada ya huduma hiyo kuzinduliwa mwezi wa Mei mwaka uliopita. Seat occupancy 96.3%. Revenue collection ilipofika Mei mwaka huu, 1.4Billion KES, kwenye huduma ya abiria pekee yake..... next question.?
 
BRT Dar es salaam kwa siku abiria ni 200,000 nauli ni Tsh 650
So kwa siku revenue ni 650x200,000= Tsh 130,000,000
Twa mwaka itakuwa 130,000,000 x 365
47,450,000,000 kwa miaka miwili
47,450,000,000x2 = Tsh 94,900,000,000
Ni sawa na USD 41,2036,82.00
Tunaelewana hapa!?
 
BRT Dar es salaam kwa siku abiria ni 200,000 nauli ni Tsh 650
So kwa siku revenue ni 650x200,000= Tsh 130,000,000
Twa mwaka itakuwa 130,000,000 x 365
47,450,000,000 kwa miaka miwili
47,450,000,000x2 = Tsh 94,900,000,000
Ni sawa na USD 41,2036,82.00
Tunaelewana hapa!?
Mbona umesahau kuongeza na kilomita??? Maanake mkikosa treni la kulinganisha nalo mnaruka kwenye BRT. BRT inachapa safari za masafa marefu? Tokomea gizani. Matatu za Nairobi kwa masaa kumi na mawili pekee yake zinaingiza hela zinaoingiwa na BRT ya Dar kwa mwezi.
 
Umesahau kuna huduma ya kubeba mizigo pia? Ambyo inachapa route na mzigo double stack. Alafu hiyo nauli unayotumia kufanya mahesabu yako ilikuwa ni promotional fares ya miezi mitatu ya kwanza baada ya kuzinduliwa mwaka uliopita. Seat occupancy 96.3%. Revenue collection ilipofika mwezi may mwaka huu, 1.4Billion KES, kwenye huduma ya abiria pekee yake..... next question.?
Yes. Hapa tunaongelea abiria. Calculation niliyoweka ni kutokana na claim ya kusafirisha abiria 2,000,000, for two year average ya abiria 1,000,000 kila mwaka
Sawa na average ya abiria 83,333 kika mwezi. Ni sawa na abiria 2778 kwa siku.
Tuchukulie zipo routes nne maana yake kika route inakuwa na wastani wa abiria 694
Sasa tuseme route moja inakuwa na mabehewa 10 so utapata wastani wa abiria 69 kwa kila behewa. Behewa standard ninabeba abiria 90-100 so mpaka hapo kuna wastani wa siti 25 kuwa wazi kila siku.

Sasa nataka maelezo ya kisomi toka kwako.
 
Mbona umesahau kuongeza na kilomita??? Maanake mkikosa treni la kulinganisha nalo mnaruka kwenye BRT. BRT inachapa safari za masafa marefu? Tokomea gizani. Matatu za Nairobi kwa masaa kumi na mawili pekee yake zinaingiza hela zinaoingiwa na BRT ya Dar kwa mwezi.
Unaongelea matatu. Niambie huko Nairobi zipo matatu ngapi. Tunaweza kulinganisha matatu na Daladala za Dar. Hiyo wala hainipi taabu.
Kumbuka nimekuwekea safari za mabasi toka Dar to Dodoma. Halafu kumbuka ipo train inapiga kazi kutoka Dar to Dodoma sijakuwekea calculations zake.

Nakutaka twende ki mahesabu. Hatutaki porojo.
 
Hebu tuongee na ninyi wakenya mpate kujua usafiri kwa upande wa Dar to Dodoma.
Tuanza:-
Kila siku Mabasi ya Shabby Hutoka Dar mabasi 6 na hutoka Dodoma mabasi 6
Mabasi ya Shabby hubeba abiria 60+
Sasa tuchukue wastani wa abiria 50 so kwa mwaka Shabby pekee itabeba abiria
60x12x365 = 219,000
Kuna kampuni zaidi ya 10 zinafanya biashara ya kusafirisha abiria kati ya Dar na Dodoma.
Kuna companies zina mabasi zaidi ya 12 kwa siku.
Sasa tuseme kila company inabeba abiria kwa wastani wa 150,000 kwa mwaka maaba yake 10x150,000 =(1,500,000 + 219,000)
Total itakuwa 1,719,000 kwa mwaka.
For two year inakuwa 1,719,000x2 = 3,438,000 abiria.
Nauli ya kwenda Dodoma ni wastani wa Tsh. 18,000 so kwa miaka miwili revenue itakuwa
3,438,000x18,000 = 61,884,000,000
Ni sawa na USD 26,868,795.12

Tunataka kujua nauli ya SGR toka Mombasa kuja Nairobi.
Are you not fighting a losing battle, maybe in Tanzania style you will win by giving semantics only
 
Are you not fighting a losing battle, maybe in Tanzania style you will win by giving semantics only
Achana naye huyo, itakuwa vigumu sana kujadili na watu kama hao ambao huwa wanajiita wataalamu wa masuala yote chini ya jua, kwenye mitandao. Nikimuambia anafanya mahesabu maandas kutumia nauli isiyo ya kweli, anahama kwenye mambo ya sijui huduma ya treni la abiria Kenya lina miaka miwili, wakati uzinduzi wake ulikuwa ni Mei mwaka jana. 'Mtaalamu' ambaye hana ufahamu wa takwimu na 'facts' za mambo ya msingi kwenye hoja anayoiongelea ni mtu mwenye mambo yake na ni wa kupuuzwa tu.
 
Hakuna kuweka sawa ni majungu na wivu tu, nakuelewa kakake/dadake Ichoboy..,

Ni katika kuwekana sawa,tunajaribu kuoanisha mapato katika huduma za kila siku.Si mnajua nyinyi ni DC,kila kitu ni pesa mingi kwenu.

So hamna haja ya povu.
 
Back
Top Bottom