kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,127
- 24,429
Hivi wakuu zile Safari za TRC kwenda Moshi bado zipo?
Haki hii serikali ni Hangaya ni failure kabisa yaani kila mradi umekufa
Cha kusikitisha hatusikiii Tena treni ya kati ikifanya kazi au kujipromote hivi Trc wana akili kweli? Yaani unamiliki biashara halafu haujitangazi?
Yaani wameshindwa hata kusponsor Ads, mabango au kujitangaza kwenye media!!
Hili shirika ningekua rais wangenyongwa wote!!
Haki hii serikali ni Hangaya ni failure kabisa yaani kila mradi umekufa
Cha kusikitisha hatusikiii Tena treni ya kati ikifanya kazi au kujipromote hivi Trc wana akili kweli? Yaani unamiliki biashara halafu haujitangazi?
Yaani wameshindwa hata kusponsor Ads, mabango au kujitangaza kwenye media!!
Hili shirika ningekua rais wangenyongwa wote!!