Treni ya kasi Tanzania

Treni ya kasi Tanzania

Sheghwede

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
277
Reaction score
124
Wakati sisi tukiwa hapa 4568.jpeg wenzetu wako hapa Bullet Trains2.jpg

Hivi tatizo ni umasikini au ni matatizo yetu ya kufikiri? Maana hii sio tu huduma, bali ni biashara, tena biashara yenye manufaa kwa taifa na raia.

Mfano, kwa basi sasa kutoka Dar kwenda Dom ni masaa 7 hadi nane, wakati Dar - Arusha ni masaa nane hadi tisa. Kwa usafiri wa treni za kisasa Dar - Dom ingechukua 2hrs na Dar - Arusha ingechukua 2.5hrs.

Mimi nafkiri inawezekana, tuache EXCUSE ya umasikini, tufikiri sawasawa, umasikini tunautengeneza wenyewe sasa.
 
Tumekusikia.
Tupeni ridhaa yenu ya kuongoza dola na haya tutayafanya bila longolongo.

CCM oyeeeeeeeeeeeeeeee!
Jk safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Wakati sisi tukiwa hapa View attachment 92168 wenzetu wako hapa View attachment 92169

Hivi tatizo ni umasikini au ni matatizo yetu ya kufikiri? Maana hii sio tu huduma, bali ni biashara, tena biashara yenye manufaa kwa taifa na raia. Mfano, kwa basi sasa kutoka Dar kwenda Dom ni masaa 7 hadi nane, wakati Dar - Arusha ni masaa nane hadi tisa. Kwa usafiri wa treni za kisasa Dar - Dom ingechukua 2hrs na Dar - Arusha ingechukua 2.5hrs.
Mimi nafkiri inawezekana, tuache EXCUSE ya umasikini, tufikiri sawasawa, umasikini tunautengeneza wenyewe sasa.

Hizo picha tu, unajuaje injini ya hiyo treni yetu na hizo za shoga zako huko mamtoni, achilia mbali zaweza kuwa fotoshop?

TAZARA oyeeeee....
 
Wakati sisi tukiwa hapa wenzetu wako hapa View attachment 92169

Hivi tatizo ni umasikini au ni matatizo yetu ya kufikiri? .

My friend, nchi yetu sio masikini, hivyo ni tatizo la uongozi. Singapore ilipiga hatua za kiuchumi kwa kuwa na viongozi na wananchi waliokuwa na uzalendo na nchi yao. Sasa ukiwa na viongozi ambao kila project ya umeme ni nafasi kwao ya kujitajirisha utaenda wapi? Viongozi wanaohusika na ujangiri, viongozi wanaotetea viongozi wenzao mafisadi na wezi ndio wataleta train za namna hii?

Treni hizi za kasi zinawezekana, lakini si katika mazingira ya umeme usiotosha hata kwa matumizi ya nyumbani tu. Hizi treni zinahitaji umemem wa hakika usio katikakatika au kutegemea mvua, la sivyo utalaza watu njiani kila siku.

Kuna wakati nilimshauri JK kuangalia uwezekano huu kwa reli ya Tazara, kwa kuingia ubia na wachina, kutia ndani na kuipeka hadi Malawi. Reli ya Tazara inawezekana kabisa kuirekebisha na kuweka treni za kasi. Kinachotakiwa ni kuondoa kona zote kali na pia kujenga flyovers kwa kuwa njia za treni za kasi hazihitaji kuwe na sehemu watu, daladala, mbuzi na mikokoteni vinakatisha reli.

Ukiwa na train za kasi reli ya Tazara utafanya Zambia na Malawi wavutiwe pia na bandari ya Dar, kwa maana watapata mizigo yao kwa kasi sana. Na pia abiria wataacha hata kutumia mabasi, ukizingatia safari ya Dar-Mbeya itachukua kama masaa manne hivi. Ila itabidi ujenge seti ya pili ya reli, yaani njia ya kwenda na njia ya kurudi la sivyo treni zitagongana kila siku.

Tatizo Tanzania tunaangalia gharama badala ya faida na pay back period. Tukiingia ubia na Wachina hii project nina uhakika itafanikiwa.

Sasa wakati wengine tunamshauri JK juu ya miradi kama hii, yeye anafikiria ambulance za Bajaji. Huo ndio upeo wake wa miradi ya maendeleo kwa Tanzania.
 
nimependa mawazo yako
naishi mji ambao una urefu sawa na kutoka dar hadi Arusha yaanizaidi ya km 600
kutoka mji nilipo hadi ilipo familia ni 8 hrs kwa mabasi yao ya kisasa
na tren la umeme ni 6 hrs, hii ni kwa sababu wana single line ya reli na ni nchi tajiri sana
ila kijiografia ina milima.
kujenga double line from Arusha to dar au from dar to Dodoma sio rahisi kwa uchumi wetu
Pili hatuna umeme wa uhakika wa kuwezesha kujengwa kwa line ya umeme usiokatika kwa Tanzania
cha msingi tuwe kwanza na umeme wa uhakika,tusubiri mradi wa Rufiji na Mbeya makaa ya mawe
na ule wa Singida wa umeme wa upeo.
Pili tupate mkandarasi wa kujenga new railyway line walau single line kwa route hizo hadi Kigoma.walau kutoka
Kigoma gadi dar iwe 8 hrs na kutoka Dom hadi dar iwe 3hrs na Arusha hadi dar walau 5hrs
hatuhitaji tren za kasi sana walau zile zinazokimbia 120km/hr inatosha..
Hii itawezekana tukiwa na rais dikteta na awe mzalendo asieogopa watu.
vestfoldbanen-200.png
rorosbanen_200.png
gjovik.jpg
tren kama hizi zinatosha
yale mengine ya kasi zaidi baadae nchi chache wanazo kama german na china, japan..
 
nimependa mawazo yako
naishi mji ambao una urefu sawa na kutoka dar hadi Arusha yaanizaidi ya km 600
kutoka mji nilipo hadi ilipo familia ni 8 hrs kwa mabasi yao ya kisasa
na tren la umeme ni 6 hrs, hii ni kwa sababu wana single line ya reli na ni nchi tajiri sana
ila kijiografia ina milima.
kujenga double line from Arusha to dar au from dar to Dodoma sio rahisi kwa uchumi wetu
Pili hatuna umeme wa uhakika wa kuwezesha kujengwa kwa line ya umeme usiokatika kwa Tanzania
cha msingi tuwe kwanza na umeme wa uhakika,tusubiri mradi wa Rufiji na Mbeya makaa ya mawe
na ule wa Singida wa umeme wa upeo.
Pili tupate mkandarasi wa kujenga new railyway line walau single line kwa route hizo hadi Kigoma.walau kutoka
Kigoma gadi dar iwe 8 hrs na kutoka Dom hadi dar iwe 3hrs na Arusha hadi dar walau 5hrs
hatuhitaji tren za kasi sana walau zile zinazokimbia 120km/hr inatosha..
Hii itawezekana tukiwa na rais dikteta na awe mzalendo asieogopa watu.
vestfoldbanen-200.png
rorosbanen_200.png
gjovik.jpg
tren kama hizi zinatosha
yale mengine ya kasi zaidi baadae nchi chache wanazo kama german na china, japan..


uko sahihi kabisa....ila niongezee tu....sio lazima treni za umeme....kuna za DIESEL ENGINE zinakimbia hadi 250km/h na za kisasa kabisa.....so hii nadharia kuwa hatuwezi kuwa na treni za kisasa kisa umeme tuifute.....
 
nashukuru kwa mawazo mbadala
hizo tren bila shaka lazima zijengwe line mpya ya reli kwani haziwezi kumatch na hii tulio nayo kwa sasa.
wazo la kuwa na tren ya umeme wa maji na hii ya diesel nadhani yote mawazo mazuri
kwa vile watendaji wengi serikalini na wanasiasa wanadiawa kumiliki magari ya mizigo na mabasi hawatapenda hii idea
uko sahihi kabisa....ila niongezee tu....sio lazima treni za umeme....kuna za DIESEL ENGINE zinakimbia hadi 250km/h na za kisasa kabisa.....so hii nadharia kuwa hatuwezi kuwa na treni za kisasa kisa umeme tuifute.....
 
Labda wajukuu zetu watayaona hayo mambo hapa Tanzania. Labda!
 
Co kwamb umaskin ndo sabab ya kufanya tren za kisasa kuwepo hapa tz! Ila hîi nchi ni mali ya wa2 na vicngizio ni vng
 
Wao ndio wenye mamia ya mabasi na malori yaliyo tapakaa barabara zote, hawana muda wa kuboresha usafiri wa reli.
 
Hatuwezi kupiga hatua yoyote ya maendeleo ya kisasa kama hayo kama bado tuna ccm kama chama tawala. Upeo na uwezo wao wa kufikiri na kuleta maendeleo umeshagota na kufika mwisho.
 
Hizo picha tu, unajuaje injini ya hiyo treni yetu na hizo za shoga zako huko mamtoni, achilia mbali zaweza kuwa fotoshop?

TAZARA oyeeeee....
Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them. Sikushangai, nakuonea tu huruma
 
My friend, nchi yetu sio masikini, hivyo ni tatizo la uongozi. Singapore ilipiga hatua za kiuchumi kwa kuwa na viongozi na wananchi waliokuwa na uzalendo na nchi yao. Sasa ukiwa na viongozi ambao kila project ya umeme ni nafasi kwao ya kujitajirisha utaenda wapi? Viongozi wanaohusika na ujangiri, viongozi wanaotetea viongozi wenzao mafisadi na wezi ndio wataleta train za namna hii?

Treni hizi za kasi zinawezekana, lakini si katika mazingira ya umeme usiotosha hata kwa matumizi ya nyumbani tu. Hizi treni zinahitaji umemem wa hakika usio katikakatika au kutegemea mvua, la sivyo utalaza watu njiani kila siku.

Kuna wakati nilimshauri JK kuangalia uwezekano huu kwa reli ya Tazara, kwa kuingia ubia na wachina, kutia ndani na kuipeka hadi Malawi. Reli ya Tazara inawezekana kabisa kuirekebisha na kuweka treni za kasi. Kinachotakiwa ni kuondoa kona zote kali na pia kujenga flyovers kwa kuwa njia za treni za kasi hazihitaji kuwe na sehemu watu, daladala, mbuzi na mikokoteni vinakatisha reli.

Ukiwa na train za kasi reli ya Tazara utafanya Zambia na Malawi wavutiwe pia na bandari ya Dar, kwa maana watapata mizigo yao kwa kasi sana. Na pia abiria wataacha hata kutumia mabasi, ukizingatia safari ya Dar-Mbeya itachukua kama masaa manne hivi. Ila itabidi ujenge seti ya pili ya reli, yaani njia ya kwenda na njia ya kurudi la sivyo treni zitagongana kila siku.

Tatizo Tanzania tunaangalia gharama badala ya faida na pay back period. Tukiingia ubia na Wachina hii project nina uhakika itafanikiwa.

Sasa wakati wengine tunamshauri JK juu ya miradi kama hii, yeye anafikiria ambulance za Bajaji. Huo ndio upeo wake wa miradi ya maendeleo kwa Tanzania.
Mimi kwanza nafurahi kuona kwamba unaona uwezekano wake. Nimefuatilia jambo hili kwa kina. Sababu ya umeme ndiyo ambayo hata viongozi wa siasa wanaing'ang'ania sana, lakini umeme sio tatizo hata kidogo. Walichokifanya wachina kwa mfano, wametengeneza vyanzo vya umeme specifically kwa miundombinu ya reli - high speed train - umeme ambao hauingii kwenye gridi ya taifa. Hivyo hata umeme ukatike nchi nzima, katika njia za reli upo. Wajapani na wenyewe wamefanya hivyo katika baadhi ya maeneo. Sasa kwa mfano hapa kwetu, ule mradi wa Malagalasi ukawa mahsusi kwa Kigoma na Reli ya kati, ule wa makaa ya mawe wa Mchuchuma ukawa maalumu kwa Reli mpya ya Mtwara - Mamtumbo, Mtwara - Dar, pamoja na Tazara, Pangani kuna mitambo miwili, ule wa pangani na ule wa Hale, hivyo ule mdogo wa Hale ukawa special kwa reli ya Tanga - Arusha, ni jambo linalowezekana kabisa, ni uvivu tu wa kufikiri. Usafirishaji ni biashara inayolipa sana siku hizi, kwa hiyo huo ni uwekezaji sio huduma. Shirika la Reli la Japan linachangia pato la taifa kwa zaidi ya asilimia 17, hapo bado maswala mtambuka yanayohusiana nalo.
Kutandaza reli katika nchi hii kutaongeza kasi ya maendeleo kwa speed ambayo dunia itatushangaa. Ukijenga reli ya kati, Tazara, Tanga - Arusha - Dar, Mtwara - Namtumbo - Njombe, na Mtwara - Lindi - Dar ni kwamba umefanikiwa kuiunganisha nchi nzima na kufungua fursa nyingi ambazo zimejificha humo ndani kama Ruvuma, Ifakara, Tabora, Kigoma, Shinyanga, Rufiji, Kilwa, na kwingineko. Kwa ufupi ni kwamba nchi inakuwa uchi, kila mahali panafikika, hivyo fursa za uwekezaji zinaongezeka. Ukaweka na Feri ya Dar - Kilwa - Mtwara, yaani nchi inakuwa pouwa. Mtu anakuwa anaweza kwenda mbeya na kurudi, mtu akaishi Dar anafanya kazi Dodoma, au akaishi Dodoma anafanya kazi Kigoma.
Ujerumani kwa mfano, Mtu anaishi Munich, kusini kabisa mwa ujerumani, na anafanya kazi Frankfurt karibia kaskazini kabisa mwa Ujerumani, anafika kazini on time, anarudi nyumbani on time. Ila sisi mtu anayekaa Kibamba akifanya kazi Mikocheni ndoa itavunjika
 
Nchi itaendelea vipi kama viongozi(akili ndogo) wameshindwa kulinda ajira za wananchi wake .. Wanaongiza wahindi ndio wanakuja kuajiriwa ...hizo ni akili fupi haziwezi kuibadilisha nchi yetu...
Tusitegemee mabadiliko yoyote .. Treni hii ni uamuzi tu.. Ila hakuna wa kuamua.. Hadi washibe na .. Human demands are unlimited so tuandile kuwa tumeumia..
 
nimependa mawazo yako
naishi mji ambao una urefu sawa na kutoka dar hadi Arusha yaanizaidi ya km 600
kutoka mji nilipo hadi ilipo familia ni 8 hrs kwa mabasi yao ya kisasa
na tren la umeme ni 6 hrs, hii ni kwa sababu wana single line ya reli na ni nchi tajiri sana
ila kijiografia ina milima.
kujenga double line from Arusha to dar au from dar to Dodoma sio rahisi kwa uchumi wetu
Pili hatuna umeme wa uhakika wa kuwezesha kujengwa kwa line ya umeme usiokatika kwa Tanzania
cha msingi tuwe kwanza na umeme wa uhakika,tusubiri mradi wa Rufiji na Mbeya makaa ya mawe
na ule wa Singida wa umeme wa upeo.
Pili tupate mkandarasi wa kujenga new railyway line walau single line kwa route hizo hadi Kigoma.walau kutoka
Kigoma gadi dar iwe 8 hrs na kutoka Dom hadi dar iwe 3hrs na Arusha hadi dar walau 5hrs
hatuhitaji tren za kasi sana walau zile zinazokimbia 120km/hr inatosha..
Hii itawezekana tukiwa na rais dikteta na awe mzalendo asieogopa watu.
vestfoldbanen-200.png
rorosbanen_200.png
gjovik.jpg
tren kama hizi zinatosha
yale mengine ya kasi zaidi baadae nchi chache wanazo kama german na china, japan..

Nimependa mawazo yako.Ila mambo machache tu niyakazie. Najua ni gharama kujenga reli, ila ni muhimu kuliko kawaida. kwa nchi kama yetu ambayo ni tambalale maeneo mengi usafiri wa treni ni the right choice. Swala la umeme nimecomment mahali fulani katika thread hii, ila la kiufupi ni kwamba kuna miradi ya umeme kama ule wa Mchuchuma, Singida, Malagalasi na Mtwara inatosha kabisa kuliwezesha hili. Ni swala la kutenga baadhi ya midadi ya umeme isiingie katika gridi ya taifa, badala yake isambaze umeme katika reli tu. Tukafanikiwa kujenga reli mbili tu, mfano ile ya Tazara na ile ya Dar - Tanga - Arusha, hizo tatu zitajenga zingine zote. Hayo yanaweza kutekelezeka kupitia PPP (Public-private Partnership), ndivyo wanavyofanya uingereza kwa mfano. Kuna mashirika ya nje ukiwapa idea hiyo wanaichangamkia, wanawekeza.
Inawezekana kabisa, na itasaidia sana taifa hili kupiga hatua ya maendeleo ambayo dunia itatushangaa. Reli ya Kati mfano itatoa soko kwa Rwanda, Burundi na Congo, Reli ya Kaskazini itatoa soko Kenya, Reli ya Tazara itatoa soko Zambia, Malawi, Zimbabwe. Hapo bado soko la ndani, bado itakavyofungua fursa zilizojificha ndani ya nchi hii. Yaani mimi hata serikali ikisema miaka mitano mfululizo hatufanyi jingine lolote, tunajenga reli nawaambia poa, tutakula majani reli ijengwe!!!
 
uko sahihi kabisa....ila niongezee tu....sio lazima treni za umeme....kuna za DIESEL ENGINE zinakimbia hadi 250km/h na za kisasa kabisa.....so hii nadharia kuwa hatuwezi kuwa na treni za kisasa kisa umeme tuifute.....

Safi kabisa,hizo mpaka U.S bado wanazitumia na ziko poa tu. Tuanzie hata hapo basi
 
nashukuru kwa mawazo mbadala
hizo tren bila shaka lazima zijengwe line mpya ya reli kwani haziwezi kumatch na hii tulio nayo kwa sasa.
wazo la kuwa na tren ya umeme wa maji na hii ya diesel nadhani yote mawazo mazuri
kwa vile watendaji wengi serikalini na wanasiasa wanadiawa kumiliki magari ya mizigo na mabasi hawatapenda hii idea
Swala la kujenga reli mpya halipingiki kwani reli yetu geji yake ni ndogo, kidogo reli ya tazara ni nzima. Lakini pia tunahitaji line mbili katika reli, na hilo linawezekana kabisa. India wanatengeneza vyuma vya reli sasa, na ni dunia ya tatu, hivyo tunaweza kununua kwao. Wao tayari wana treni za kasi ingawa si nchi nzima. Mfano kutoka Bangalore kwenda New Delhi kuna treni za kasi.
Sema sasa siasa, ndio tatizo, na maslahi binafsi. Ila tunaweza kabisa, nchi hii ikapona na mengi
 
Back
Top Bottom