Treni ya kasi Tanzania

Treni ya kasi Tanzania

Nchi itaendelea vipi kama viongozi(akili ndogo) wameshindwa kulinda ajira za wananchi wake .. Wanaongiza wahindi ndio wanakuja kuajiriwa ...hizo ni akili fupi haziwezi kuibadilisha nchi yetu...
Tusitegemee mabadiliko yoyote .. Treni hii ni uamuzi tu.. Ila hakuna wa kuamua.. Hadi washibe na .. Human demands are unlimited so tuandile kuwa tumeumia..
Najua siasa zinatuumiza, ila tukija na mawazo mbadala kwa mashinikizo watafanya. Kwani ni mangapi wamefanya kwa kushinikizwa? Tuseme, tuwaseme mpaka wafanye. Ila siasa inatutesa, matumbo yanatutesa sana, eti na sisi ni maskini!!! Mungu tusamehe tunajua tulitendalo
 
Ni heri umaskini wa mfukoni kuliko umaskini wa kichwani! Kama nchi hii tungekuwa maskini wa mfukoni tungekuwa na nafuu!!
 
Wakati sisi tukiwa hapa View attachment 92168 wenzetu wako hapa View attachment 92169

Hivi tatizo ni umasikini au ni matatizo yetu ya kufikiri? Maana hii sio tu huduma, bali ni biashara, tena biashara yenye manufaa kwa taifa na raia. Mfano, kwa basi sasa kutoka Dar kwenda Dom ni masaa 7 hadi nane, wakati Dar - Arusha ni masaa nane hadi tisa. Kwa usafiri wa treni za kisasa Dar - Dom ingechukua 2hrs na Dar - Arusha ingechukua 2.5hrs.
Mimi nafkiri inawezekana, tuache EXCUSE ya umasikini, tufikiri sawasawa, umasikini tunautengeneza wenyewe sasa.
Hiyo trein ya kasi mtakuwa mnajaza Disel ili itembee? Sijaona trein ya kasi isiyotumia umeme. Huo umeme Tanzania upo wapi? Labda tuanze kwanza kushughulikia tatizo la umeme, tupate umeme wa uhakika halafu ndo tufikirie habari za train ya kasi.
 
Hiyo trein ya kasi mtakuwa mnajaza Disel ili itembee? Sijaona trein ya kasi isiyotumia umeme. Huo umeme Tanzania upo wapi? Labda tuanze kwanza kushughulikia tatizo la umeme, tupate umeme wa uhakika halafu ndo tufikirie habari za train ya kasi.
Zipo treni za kasi zinazotumia diesel kaka, na zinatembea 250km/hr. Ila pia hata hilo la umeme ni kuamua, linawezekana. Fuatilia hii thread nishatoa ufafanuzi wa swala hilo kwa kina katika comments za wadau kadhaa not far from here. Inawezekana kabisa, inawezekana
 
Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them. Sikushangai, nakuonea tu huruma

Ni rahisi sana kukariri misemo, ila kuiishi ni tabu kidogo hasa kwa wazandiki kama nyie mliodandia dhana ya mabadiliko bila kuelewa siri ya mtungi.
 
Ni rahisi sana kukariri misemo, ila kuiishi ni tabu kidogo hasa kwa wazandiki kama nyie mliodandia dhana ya mabadiliko bila kuelewa siri ya mtungi.

Sijakuelewa mdau. Ila maoni yako yamezingatiwa, sikariri ila nafanyia kazi
 
Hizo picha tu, unajuaje injini ya hiyo treni yetu na hizo za shoga zako huko mamtoni, achilia mbali zaweza kuwa fotoshop?

TAZARA oyeeeee....

Hamna biashara ya photoshop hapa, hizo treni za mwendokasi mbona ni nyingi tu duniani sasa hivi???? Hizo engine za TAZARA unazosema, majuzi tu wachina wamezileta mpya na zimeshindwa kufanya kazi, haziwezi kupandisha milima!!! Heri hata zile engine za TRC za zamani zilizotengenezwa Canada!!!
 
Sijakuelewa mdau. Ila maoni yako yamezingatiwa, sikariri ila nafanyia kazi

Mabadiliko ni zaidi ya kuchukua mrengo wa kisiasa na kuikandia serikali kwa kila jambo, na kuishia kulinganisha linganisha tu. Mimi ni mfuasi wa ujamaa, nautamani sana urudi na hakuna chama kinachonihakikishia ujamaa zaidi ya CCM ingawa ni kwenye makaratasi.
 
Hiyo trein ya kasi mtakuwa mnajaza Disel ili itembee? Sijaona trein ya kasi isiyotumia umeme. Huo umeme Tanzania upo wapi? Labda tuanze kwanza kushughulikia tatizo la umeme, tupate umeme wa uhakika halafu ndo tufikirie habari za train ya kasi.

tembea uone....treni za DIESEL HIGH SPEED zipo kibao hadi kesho zinatembea....umeme sio issue...hivi unajua how does electric or diesel train work? kifupi treni inaendeshwa kwa motor zinazozungusha yale matairi......motor hio inazungushwa na umeme.....diesel train engine its BASICALLY DIESEL ELECTRIC GENERATOR inayotoa umeme ambao unazungusha motor.....electric train wametoa hio generator na treni imeunganishwa direct na electric source ambayo inaweza kuwa overhead cable or LIVE railway line hence quiet,smooth,effiecient
 
Hiyo trein ya kasi mtakuwa mnajaza Disel ili itembee? Sijaona trein ya kasi isiyotumia umeme. Huo umeme Tanzania upo wapi? Labda tuanze kwanza kushughulikia tatizo la umeme, tupate umeme wa uhakika halafu ndo tufikirie habari za train ya kasi.

hio hapo inakwenda over 200km/hr....DIESEL ENGINE TRAIN....



 
Wakati sisi tukiwa hapa View attachment 92168 wenzetu wako hapa View attachment 92169

Hivi tatizo ni umasikini au ni matatizo yetu ya kufikiri? Maana hii sio tu huduma, bali ni biashara, tena biashara yenye manufaa kwa taifa na raia. Mfano, kwa basi sasa kutoka Dar kwenda Dom ni masaa 7 hadi nane, wakati Dar - Arusha ni masaa nane hadi tisa. Kwa usafiri wa treni za kisasa Dar - Dom ingechukua 2hrs na Dar - Arusha ingechukua 2.5hrs.
Mimi nafkiri inawezekana, tuache EXCUSE ya umasikini, tufikiri sawasawa, umasikini tunautengeneza wenyewe sasa.
bibie Sheghwede sahau kupata treni ya speed Tanzania labda mimi niwe Rais wa huko ndio itakuwepo hiyo treni ya speed lakini kwa miaka inayokuja sahau kabisa.Hakuna Umeme wala Maji Safi mjini Dares-Salaam wewe unazungumzia Treni ya speed nchini Tanzania? Ahhh una mawazo marefu wewe ninakuacha
 
My friend, nchi yetu sio masikini, hivyo ni tatizo la uongozi. Singapore ilipiga hatua za kiuchumi kwa kuwa na viongozi na wananchi waliokuwa na uzalendo na nchi yao. Sasa ukiwa na viongozi ambao kila project ya umeme ni nafasi kwao ya kujitajirisha utaenda wapi? Viongozi wanaohusika na ujangiri, viongozi wanaotetea viongozi wenzao mafisadi na wezi ndio wataleta train za namna hii?

Treni hizi za kasi zinawezekana, lakini si katika mazingira ya umeme usiotosha hata kwa matumizi ya nyumbani tu. Hizi treni zinahitaji umemem wa hakika usio katikakatika au kutegemea mvua, la sivyo utalaza watu njiani kila siku.

Kuna wakati nilimshauri JK kuangalia uwezekano huu kwa reli ya Tazara, kwa kuingia ubia na wachina, kutia ndani na kuipeka hadi Malawi. Reli ya Tazara inawezekana kabisa kuirekebisha na kuweka treni za kasi. Kinachotakiwa ni kuondoa kona zote kali na pia kujenga flyovers kwa kuwa njia za treni za kasi hazihitaji kuwe na sehemu watu, daladala, mbuzi na mikokoteni vinakatisha reli.

Ukiwa na train za kasi reli ya Tazara utafanya Zambia na Malawi wavutiwe pia na bandari ya Dar, kwa maana watapata mizigo yao kwa kasi sana. Na pia abiria wataacha hata kutumia mabasi, ukizingatia safari ya Dar-Mbeya itachukua kama masaa manne hivi. Ila itabidi ujenge seti ya pili ya reli, yaani njia ya kwenda na njia ya kurudi la sivyo treni zitagongana kila siku.

Tatizo Tanzania tunaangalia gharama badala ya faida na pay back period. Tukiingia ubia na Wachina hii project nina uhakika itafanikiwa.

Sasa wakati wengine tunamshauri JK juu ya miradi kama hii, yeye anafikiria ambulance za Bajaji. Huo ndio upeo wake wa miradi ya maendeleo kwa Tanzania.
brilliant idea,ni kweli na itatusaidia sana kiuchumi...ila naomba ufafanuzi kwanini watanzania tunawaendekeza sana wachina,au sababu ya unafuu wao wa bei?..kuna nchi nyingine nyingi zinazoweza kufanya na sisi program za maendeleo na tukawa mbali sana,why don't we think kufanya partnership na scandinavian countries au Russia kwa project kubwa kama hizi,kuna nchi kama brazil na venezuela...wana very good railway systems....hata kubinafsisha route naona itakuwa very effiecient,,,kwa mfano.route ya Dar-Dodoma apewe mfanyabiashara wa uhakika,ambaye kwa mwaka anatakiwa awakilishe kiasi fulani kwa serikali,tuseme Billion 1.Dar-Arusha apewe operator mwingine,Dodoma Kigoma Mwingine,,,mbona tutafika tu! tena at a very high pace....mimi naamini sana in privatization of resources,maana mwenye mradi hatataka apate hasara na atakuwa very serious,ila katika ubinafsishaji huu,kuwe na very clear terms and policies kwa hawa wawekezaji na inufaishe watanzania zaidi in terms of number of people employed,tax paid to the government..It is very possible when the right people are given opportunities at the right time,kuna a lot of Tanzanians na proffessions zao,and they are very good at what they do,hawapewi nafasi,ndio maana wanakimbilia nchi za watu.....nimemaliza.
 
Mabadiliko ni zaidi ya kuchukua mrengo wa kisiasa na kuikandia serikali kwa kila jambo, na kuishia kulinganisha linganisha tu. Mimi ni mfuasi wa ujamaa, nautamani sana urudi na hakuna chama kinachonihakikishia ujamaa zaidi ya CCM ingawa ni kwenye makaratasi.
Mdau naomba nikwambie kuwa sija'quote' mwanasiasa, ila mtaalamu na msomi wa maendeleo. Na lengo langu si kuikandia serikali ila ni kutoa mtazamo chanya juu ya kile ambacho serikali inakifanya. Kama umeniweka kwenye kundi fulani la kisiasa only because kuna mwanasiasa amefanya the same quoting pole, siko huko hata.
When we say Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them, we do not necessarily suggest that one should disembark from power, but one should change his/her thinking pattern, and think a bit more than before. If disembarking is necessary, then one should take that step.
So try to understand from what I say not from what you perceive, and that determines one's academic maturity
 
Itaanza kwa majaribio Dar to morogoro....
 
hio hapo inakwenda over 200km/hr....DIESEL ENGINE TRAIN....



Afadhali ndugu yangu umenisaidia kuwasaidia hawa wanaoona kila kitu kizuri hakiwezekani. We need people with sharp minds to see possibilities even in the midst of impossibles. That alone will take us from the miserable place we are living in. Development is in the mind, then transformed into reality; but some need to transform reality into their mind, ndio maana kila kizuri kwao hakiwezekani
 
bibie Sheghwede sahau kupata treni ya speed Tanzania labda mimi niwe Rais wa huko ndio itakuwepo hiyo treni ya speed lakini kwa miaka inayokuja sahau kabisa.Hakuna Umeme wala Maji Safi mjini Dares-Salaam wewe unazungumzia Treni ya speed nchini Tanzania? Ahhh una mawazo marefu wewe ninakuacha
Ukiyatazama matatizo tuliyo nayo yakawa kigezo cha mazuri tunayoyatarajia, hakuna ambalo unawezafanya. Anyway, tumekuja duniani kutatua matatizo, sio kuhudhuria. Kwa hiyo kama unaona hayo hayawezekani, kaa tu pembeni uwe mshuhudiaji
 
brilliant idea,ni kweli na itatusaidia sana kiuchumi...ila naomba ufafanuzi kwanini watanzania tunawaendekeza sana wachina,au sababu ya unafuu wao wa bei?..kuna nchi nyingine nyingi zinazoweza kufanya na sisi program za maendeleo na tukawa mbali sana,why don't we think kufanya partnership na scandinavian countries au Russia kwa project kubwa kama hizi,kuna nchi kama brazil na venezuela...wana very good railway systems....hata kubinafsisha route naona itakuwa very effiecient,,,kwa mfano.route ya Dar-Dodoma apewe mfanyabiashara wa uhakika,ambaye kwa mwaka anatakiwa awakilishe kiasi fulani kwa serikali,tuseme Billion 1.Dar-Arusha apewe operator mwingine,Dodoma Kigoma Mwingine,,,mbona tutafika tu! tena at a very high pace....mimi naamini sana in privatization of resources,maana mwenye mradi hatataka apate hasara na atakuwa very serious,ila katika ubinafsishaji huu,kuwe na very clear terms and policies kwa hawa wawekezaji na inufaishe watanzania zaidi in terms of number of people employed,tax paid to the government..It is very possible when the right people are given opportunities at the right time,kuna a lot of Tanzanians na proffessions zao,and they are very good at what they do,hawapewi nafasi,ndio maana wanakimbilia nchi za watu.....nimemaliza.
Umenena mkuu, noted
 
HAYA CHECK HII YA DIESEL, source: MTU to supply 250 diesel powerpacks for Hitachi Super Express Trains - Railway Technology
Hitachi_Super_Express_Train_for_IEP_4.jpg

Hitachi Rail Europe has awarded a €200m contract to Tognum subsidiary MTU to supply 250 700kW diesel powerpacks for its future high-speed Super Express trains under the UK's Intercity Express Programme (IEP).
The contract also includes a 27.5-year maintenance period for the powerpacks, built around MTU's 12V 1600 R80L engine with selective catalytic reduction (SCR), induction generator and Capos starting system.
Delivery of the powerpacks is scheduled to take place between 2013 and 2018, with the maintenance period starting from 2017.
In July 2012, the UK Department for Transport (DfT) awarded a £4.5bn contract to Agility Trains to build 596 railway carriages at a new train factory in north-east England as part of the IEP.
Agility Trains, a consortium comprising of Hitachi and John Laing, will build the trains to replace the UK's ageing Intercity 125s with new higher-capacity modern models.
The first trains under the IEP are scheduled to enter service on the Great Western Main Line in 2017 and on the East Coast Main Line by 2018.
The initial phase includes 21 nine-car electric trains and 36 five-car bi-mode trains for the Great Western franchise (369 vehicles), while the second phase includes 12 five-car electric trains, ten five-car bi-mode trains and 13 nine-car bi-mode trains for the East Coast franchise (227 vehicles).
The new rolling stock, which will include both electric and bi-mode trains, will be equipped with one powerpack each for auxiliary power, which will allow them to operate under their own power in the absence of overhead electricity.
Depending on the length, each bi-mode train will have three five-unit trains, four eight-unit trains or five nine-unit train powerpacks.
"Agility Trains, a consortium comprising of Hitachi and John Laing, will build the trains to replace the UK's ageing Intercity 125s with new higher-capacity modern models."
Hitachi has already started tests on fuel consumption, noise and vibration, and power and exhaust emissions at its facilities in Japan using a powerpack prototype prepared by MTU for the joint project.
Hitachi will also build a new rolling stock manufacturing and assembly plant at Newton Aycliffe in Durham, where it will assemble a fleet of 92 complete trains.
Construction of the Newton Aycliffe facility is expected to start in 2013 and when fully operational in 2015, it is expected to be capable of producing up to 35 vehicles every month.
The fleet of 92 electric and bi-mode trains will be maintained at new depots in Swansea, Bristol, London (North Pole) and Doncaster.
 
CHEKI NA HII, TRENI ZA DIESEL, ZA KASI MTU to supply 250 diesel powerpacks for Hitachi Super Express Trains - Railway Technology

Hitachi_Super_Express_Train_for_IEP_4.jpg

Hitachi Rail Europe has awarded a €200m contract to Tognum subsidiary MTU to supply 250 700kW diesel powerpacks for its future high-speed Super Express trains under the UK's Intercity Express Programme (IEP).
The contract also includes a 27.5-year maintenance period for the powerpacks, built around MTU's 12V 1600 R80L engine with selective catalytic reduction (SCR), induction generator and Capos starting system.
Delivery of the powerpacks is scheduled to take place between 2013 and 2018, with the maintenance period starting from 2017.
In July 2012, the UK Department for Transport (DfT) awarded a £4.5bn contract to Agility Trains to build 596 railway carriages at a new train factory in north-east England as part of the IEP.
Agility Trains, a consortium comprising of Hitachi and John Laing, will build the trains to replace the UK's ageing Intercity 125s with new higher-capacity modern models.
The first trains under the IEP are scheduled to enter service on the Great Western Main Line in 2017 and on the East Coast Main Line by 2018.
The initial phase includes 21 nine-car electric trains and 36 five-car bi-mode trains for the Great Western franchise (369 vehicles), while the second phase includes 12 five-car electric trains, ten five-car bi-mode trains and 13 nine-car bi-mode trains for the East Coast franchise (227 vehicles).
The new rolling stock, which will include both electric and bi-mode trains, will be equipped with one powerpack each for auxiliary power, which will allow them to operate under their own power in the absence of overhead electricity.
Depending on the length, each bi-mode train will have three five-unit trains, four eight-unit trains or five nine-unit train powerpacks.
"Agility Trains, a consortium comprising of Hitachi and John Laing, will build the trains to replace the UK's ageing Intercity 125s with new higher-capacity modern models."
Hitachi has already started tests on fuel consumption, noise and vibration, and power and exhaust emissions at its facilities in Japan using a powerpack prototype prepared by MTU for the joint project.
Hitachi will also build a new rolling stock manufacturing and assembly plant at Newton Aycliffe in Durham, where it will assemble a fleet of 92 complete trains.
Construction of the Newton Aycliffe facility is expected to start in 2013 and when fully operational in 2015, it is expected to be capable of producing up to 35 vehicles every month.
The fleet of 92 electric and bi-mode trains will be maintained at new depots in Swansea, Bristol, London (North Pole) and Doncaster.
 
Back
Top Bottom