Treni Imeanza Kazi Dar Es Salaam (Dar Subway)

Some lines in NYC don't even go underground and still is SUBWAY.
You mean they never go underground at all from point A to C au zipo above ground in some point lakini they go under in some points..., even the Tube in London sometimes the train goes above ground
 
You mean they never go underground at all from point A to C au zipo above ground in some point lakini they go under in some points..., even the Tube in London sometimes the train goes above ground

Yaap some shuttle don't go underground at all. Agalia connection ya kutoka Brownsville to East New York. Wapi inapita Chini?
 
Yaap some shuttle don't go underground at all. Agalia connection ya kutoka Brownsville to East New York. Wapi inapita Chini?
Some shuttle might not go underground but the system as a whole part of it goes underground ingawa sio zote kwahio in general its a subway because there some connections which goes under (even a tunnel) kama system nzima ipo juu kwa juu kama ya Dar basi na hio sio Subway
 
Mkuu hata Subway za NYC hazina choo, sasa kwanini za Bongo ziwe na Choo ndani ya Behewa. Mbona Wabongo mna makuu nyie.

Mkuu kumbuka huyu Mbuzi mzee anazungumzia Trein na sio Metro hizi za Bongo ni Trein na sio kama ulivyokurupuka nyie ndio mnafeil mitihani kwa kutosoma swali liliulizaje.Pia hizi sio subway na huwezi kuziita subway hata siku moja
 
Hua hatuna tabia yakusifia vya kwetu,
Wale wanaosimama katikati ya reli kwenye foleni mziki umefunguliwa kazi yenu kucheza sasa!
 
Tulivyokuwa wastaarabu hivyo viti vipe mwezi tu,vitakuwa havitamaniki.
 
Some shuttle might not go underground but the system as a whole part of it goes underground ingawa sio zote kwahio in general its a subway because there some connections which goes under (even a tunnel) kama system nzima ipo juu kwa juu kama ya Dar basi na hio sio Subway

Then Dar Subway pass your test since they use TAZARA as well. You know that TAZARA has tunnels, don't you?
 
Mkuu kumbuka huyu Mbuzi mzee anazungumzia Trein na sio Metro hizi za Bongo ni Trein na sio kama ulivyokurupuka nyie ndio mnafeil mitihani kwa kutosoma swali liliulizaje.Pia hizi sio subway na huwezi kuziita subway hata siku moja

Wacha ubishi bwana mkubwa
 
inapodibi kupongeza sina budi kupongeza
sasa watanzania tujifunze kupenda jasho la kodi zetu siyo kesho tuanze kung'oa viti tena na nyie wakatisha tiketi msianzishe kamtaji hapo mlangoni
 
Wasafiri wanasafiri kwa raha hakuna kero kama zile za daladala za kupanda kwa kuminyana, kubanana kwa kufa mtu na ghasia nyingine za kwenye daladala. TRC wahakikishe usafiri huu unakuwa wa kudumu.
 
Au ni macho yangu mabishano ya subway sijui metro mmh labda mtasema na underground ya ile nchi ingine etc. Si ni majina tu ya network yao au? hiyo subway wangeweza iita downway au trainway etc wangetaka.

Ok kurudi kwenye vya kwetu, nasubiria niwe na ki trip cha upande huo wa Dar niipande kwa raha zote.
 
inapodibi kupongeza sina budi kupongeza
sasa watanzania tujifunze kupenda jasho la kodi zetu siyo kesho tuanze kung'oa viti tena na nyie wakatisha tiketi msianzishe kamtaji hapo mlangoni

kwa hili la mitaji kwa wakata tiketi, itakuwa ngumu jana tu huenda kuna mtu kafunga salio la kutosha kumwaga mawe kwenye kiwanja chake.
 
Why do you think it is improper to call it "subway"?

Hebu nenda Nigeria ujionee wanavyo safikiri na boda boda, ndipo unaelewa kuwa Bongo Wanaanza kupiga hatua. Just thinking loud.

Mkuu, yeah, sijui kwa Nigeria mkuu (bse sijajionea mwenyewe) lakini kwa zile nilizoona, Subway mostly meant/stood for Metro or Heavy Urban Transit in cities mfano NYC, Singapore, Lux..tofauti na Light Train Transit ambayo it's one of the kind tuitumiayo hapa Dar (toka jana) kama kule Edmonton(Alberta), Jerusalem.

Ni kweli tumepiga maendeleo, tofauti na nchi nyingine za jirani, just precaution na kukumbushana kama vile Usalama, Utunzaji wa vitu n.k
 
Wasafiri wanasafiri kwa raha hakuna kero kama zile za daladala za kupanda kwa kuminyana, kubanana kwa kufa mtu na ghasia nyingine za kwenye daladala. TRC wahakikishe usafiri huu unakuwa wa kudumu.

Dah! mkuu..labda sisi wenyewe yujiwekee huo utaratibu wa kutosimama, lakini hata nje wanasimama vile vile!!
 
Au ni macho yangu mabishano ya subway sijui metro mmh labda mtasema na underground ya ile nchi ingine etc. Si ni majina tu ya network yao au? hiyo subway wangeweza iita downway au trainway etc wangetaka.

Ok kurudi kwenye vya kwetu, nasubiria niwe na ki trip cha upande huo wa Dar niipande kwa raha zote.

Duh., basi haya majina tu, bora tungeita Airline kabisa au Bajaji au Stream way....

Unajua jina la kitu linakupa picha ya kitu.., kama nipo Timbuktu.., unaniambia Dar kuna Subway tapata picha ya either njia ya train underground ili kuepusha msongamano na magari / traffic nyingine zinazopita juu.., au tapata picha ya njia fulani chini ya daraja au barabara ambapo watu wanapita (kwa chini..)

Kwahio majina usaidia mtu kupata picha ya kitu fulani.., Lets Call a Spade a Spade..., mpaka sasa nadhani Africa ni Egypt pekee inayo-operate a Subway System, tusichanganye Trams, Light Rail System na Subway
 
Why do you think it is improper to call it "subway"?

Hebu nenda Nigeria ujionee wanavyo safikiri na boda boda, ndipo unaelewa kuwa Bongo Wanaanza kupiga hatua. Just thinking loud.

A subway is a train system that is located entirely underground, please use google to avoid such errors, usiwe kama sospeter
 
historia tu isijirudie maana wabongo sijui nani katuloga! Mwaka 2002, nduguye Mwakembe, Mwandosya akiwa waziri nae alizindua usafiri wa Treni Dar, ila ilifanya tripu moja tu, ikawa historia!
 
It's an offense calling it a subway!

Kiasi itasaidia kupunguza muda tunaopoteza katika foleni.
Cha muhimu kuzingatia muda, na uwe ni usafiri wa UHAKIKA! (sio leo upo then kesho tunaongea mengine)

Much effort iwekwe kwenye RBT,na watu wawe encourage kutumia than private cars(only if kukiwa na Safe/Secured Vehicle park)!
Kweli mkuu, hii si subway, submerged transport mara zote ni underground/surface
 
Back
Top Bottom