MR UNINFORMED
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,067
- 1,201
Nadhan hoja yako ina mashiko...yaan hakuna mfanyabiashara anayejielewa anaweza kufanya hii kitu.
Lakin kuna aina ya watu hii ndo safe heaven yao...na ni kwasababu si wafanyabiashara au pia ni waoga wa risk.
Lakin kuna aina ya watu hii ndo safe heaven yao...na ni kwasababu si wafanyabiashara au pia ni waoga wa risk.