yap inaeleweka mbona mwanga na moshi zote ni wilaya.Kiswahili ni kigum sana mzee. Ukifika Mwanga unakuwa umefika Kilimanjaro lakini haujafika bado Moshi.
nadhani walitakiwa waseme tanga ,moshi na kilimanjaro kwa ujumla
Ukweli ni kwamba Kilimanjaro siyo sehemu ya Tanzania ndiyo maana hata TRC hawajui tofauti ya Moshi na Kikimanjaro!Nawaomba waungwana msikilize na kutazama video hii na kunisaidia kuelewa wanaposema Tanga, Moshi na Kilimanjaro, je Moshi si ipo Kilimanjaro? Au walitaka kusema Arusha?
Ufahamu umeelemea kwenye sifa, sio ujumbe.Mkuu naona kama hapo ulimi umesingiziwa, labda team nzima kuanzia mwenye tangazo, na mtengenezaji yawezekana hawana ufahamu kabisa wa walichoiandalia hadhira
Acha maswali ya kipuuzi kwani Rukwa na Sumbawanga kwenu tofauti ipo wapiNawaomba waungwana msikilize na kutazama video hii na kunisaidia kuelewa wanaposema Tanga, Moshi na Kilimanjaro, je Moshi si ipo Kilimanjaro? Au walitaka kusema Arusha?