FridaY
Member
- Feb 24, 2008
- 9
- 9
Hii nyeti na Chazo ni kutoka ndani ya Jumba lenyewe husika TRC AKA TRL.
Nimepatwa na mshtuko, kabla sijaweka mambo hadharani wakati naendelea kupata zaidi ushahidi kamili na vielelezo "SIRI" naomba mwenye lolote amwage hapa mimi nikija nakuja na full nondo kwani hamto amini nani wahusika na ufisadi....
Siamini Bonge la Project kama lile limezimika kama Mshumaa na No One see the truth that ma bichwa tu na muvument za uongo zinafanyika tuamini that kuna kitu kinaitwa TRL going on.
Wakati Ukweli ni kwamba wame Subotage the whole Infrastructure.
Wametujenga tuamini Train zipo kwa ajili ya abiria while Rail Track zimelala chini useless, 98% of Cargo now iz VIA Road plus Njaa za wanavijiji wanaiba vyuma na kuuza scraper !!!!
Wana JF kazi kwenu tuongeeni hili bila woga kwa uwazi kabisa.
Invisible na Mwanakijiji nimeshindwa kupandisha data Need ur help.
Nimepatwa na mshtuko, kabla sijaweka mambo hadharani wakati naendelea kupata zaidi ushahidi kamili na vielelezo "SIRI" naomba mwenye lolote amwage hapa mimi nikija nakuja na full nondo kwani hamto amini nani wahusika na ufisadi....
Siamini Bonge la Project kama lile limezimika kama Mshumaa na No One see the truth that ma bichwa tu na muvument za uongo zinafanyika tuamini that kuna kitu kinaitwa TRL going on.
Wakati Ukweli ni kwamba wame Subotage the whole Infrastructure.
Wametujenga tuamini Train zipo kwa ajili ya abiria while Rail Track zimelala chini useless, 98% of Cargo now iz VIA Road plus Njaa za wanavijiji wanaiba vyuma na kuuza scraper !!!!
Wana JF kazi kwenu tuongeeni hili bila woga kwa uwazi kabisa.
Invisible na Mwanakijiji nimeshindwa kupandisha data Need ur help.