Transporters

Transporters

jocky187

New Member
Joined
Feb 9, 2026
Posts
3
Reaction score
6
I’m looking for transporters with trucks
Have goods to Maamba and Lusaka
 

Attachments

  • IMG_3162.jpeg
    IMG_3162.jpeg
    436.6 KB · Views: 4
Nataka nijifunze hii biashara niifanye kama individual sina kampuni. Unaweza nisaidia ABCs?
Sina details sana ila nitakueleza kwa uchache kwa nnavyojua.

Hii biashara ya transportation kama unataka kufanya as a transporter ni vizuri ukawa na malori ya kubebea mizigo na ni lazima uwe umesajiliwa kwenye chama chao.

Kazi yako inakuwa ni kusafirisha mizigo ndani na nje ya nchi kwa gharama unaoona ina faida kwako. Ni biashara nzuri ila ina changamoto zake kwenye uendeshaji na usimamizi..
 
Sina details sana ila nitakueleza kwa uchache kwa nnavyojua.

Hii biashara ya transportation kama unataka kufanya as a transporter ni vizuri ukawa na malori ya kubebea mizigo na ni lazima uwe umesajiliwa kwenye chama chao.

Kazi yako inakuwa ni kusafirisha mizigo ndani na nje ya nchi kwa gharama unaoona ina faida kwako. Ni biashara nzuri ila ina changamoto zake kwenye uendeshaji na usimamizi..
Ok nimekuelewa. Vipi tusio na mitaji ila tunaweza kutafuta network, tunaweza kuwa mawinga au madalali?
 
Back
Top Bottom