Kangekuwa keusi kangependeza zaidiKazuri mno
Mkuu inamaana kariba yako ni fb peke yake?
Nahisi ila najiuliza wamefanyajefanyaje
Labda uangalie hapa utapata idea
Mm ukinikosa hapa jua nipo fb nasoma habari na kushangaa picha
watanzania wakike wengi ni jauangebaki hivo wa kiume akaja bongo angepata sana mademu,
Duuuh!