Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,653
Itatisha mno bale, rodriguez, ronaldo, di-maria, nane kroos.. mmh huo mziki si mchezo..Safu yao ya mashambulizi itazidi kutisha.
Itatisha mno bale, rodriguez, ronaldo, di-maria, nane kroos.. mmh huo mziki si mchezo..Safu yao ya mashambulizi itazidi kutisha.
Itatisha mno bale, rodriguez, ronaldo, di-maria, nane kroos.. mmh huo mziki si mchezo..
Messi considered Arsenal move
Source: Daily Express
Wednesday, July 23, 2014 00:09
Barcelona forward Lionel Messi considered a
move to Arsenal two months ago. The
Argentine discussed a possible move to the
Gunners with Cesc Fabregas in May as he is a
big fan of Arsene Wenger.
Angeenda bure ama?
Kweli mkuu maana mtu kama bale mwenyewe peke yake ni shida mziki wake..We acha tu kama hawatakumbwa na majeruhi basi ngome za timu mbali mbali kwenye ligi ya Spain na UEFA zitapata mateso makubwa sana katika kuizuia hii safu ya mashambulizi isizione nyavu zao, kazi ambayo haitakuwa rahisi hata kidogo.
Sema kamchukulia uswaiba tu hana kitu tena