dirisha la usajili lipo wazi hadi tarehe 1 septemba, 2014.
View attachment 170312View attachment 170211View attachment 170212View attachment 170217View attachment 170214View attachment 170218View attachment 170314
manutd
- baada ya
angel di maria (26) kukataa ofa, kocha van gaal sasa anaelekeza nguvu kwa
arjen robben (31),
mats hummels (25) na
marco reus (25) wote kutoka germany.
-
beki kinda luke shaw (19) ametua manutd kwa dau la £27m, kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa £100,000 kwa wiki. Luke shaw anakuwa kinda ghali zaidi ndani ya epl.
- beki wa arsenal thomas vermaelen (28) anakaribia kutua manutd kwa dau la 11m.
- kiungo wa athelic bilbao ander herrera (25) ametua manutd kwa dau la £29m kwa mkataba wa miaka 5.
- winga anayetisha duniani arjen roben (30) wa bayern anawaniwa kwa dau la £40m.
- bastian schweinsteiger (29) anawaniwa kwa dau la £20m.
- kiungo marouane felaini (26) ametupwa sokoni, bei yake ni £12m. Hii ni baada ya kushindwa kung'ara tangu aliponunuliwa kwa £27.5m kutoka everton.
- kocha van gaal ametua manutd kwa mkataba wa miaka 3, atasaidiwa na ryan giggs.
- nemanja vidic (32) atahamia intermilan msimu ujao kwa uhamisho huru.
arsenal
- mshambuliaji wa barca
alexis sanchez (25) ametua arsenal kwa kitita cha £35m.
- kiungo wa real madrid na ujerumani
sami khedira (27) anakaribia kutua arsenal baada ya kukataa kuongeza mkataba wake real madrid.
-mshambuliaji wa qpr na ufaransa
loic remy (27) naye huenda akatua arsenal by next week kwa dau la £8.
- beki wa newcastle
mathieu debuchy (28) anakaribia kutua arsenal kwa dau la £10m.
- mshambuliaji wa psg na argentina
ezequiel lavezzi (29) anawaniwa kwa dau la £12m. Psg imesema bei yake ni kuanzia £15m.
- golikipa
lukasz fabianski (29) amehamia swansea kama mchezaji huru.
- beki
micah richards (25) wa mancity na mshambuliaji wilfried bony (25) wa swansea wanawindwa kwa jumla ya £40m.
- kocha arsene wenger (64) amesaini mkataba mpya wa kuifundisha arsenal hadi mwaka 2017.
chelsea
- mourinho anakamilisha usajili wa beki mpya wa kushoto
filipe luis (28) kutoka atletico madrid kwa kitita cha £20m.
- kiungo kinda 'hot cake' anayetisha duniani kwa sasa
paul pogba (21) anawaniwa kwa £60m.
- mshambuliaji anayetisha duniani kwa sasa
diego costa (25) ametua chelsea kwa dau la £32m.
- kiungo mshambuliaji
cesc fabregas (27) ametua chelsea kwa dau la £30m, kwa mkataba wa miaka 5! Atavaa jezi namba 4.
- beki anayepanda
david luiz (27) ametua psg kwa kitita cha
£40m, kwa mkataba wa miaka 5.
- mkongwe
frank lampard (35) anahamia new york city ya mls, usa.
-
john obi mikel huenda akatua intermilan msimu ujao.
liverpool
- winga kinda lazar markovic (20) ametua liverpool kwa dau la £20m kutoka benfica.
-
luis suarez amehamia barcelona kwa tita la £75m, mkataba wa miaka 5.
- mshambuliaji
wilfried bony (25) anawindwa na liverpool na tottenham. Swansea imesema haondoki mtu bila £20m kumwagwa mezani.
- mshambuliaji kinda
divock origi (19) anatua liverpool kwa dau la 10m.
- kiungo
adam lallana (26) amehamia liverpool kwa mkataba wa miaka 5 kwa dau la £25m na mshahara wa £100,000 kwa wiki.
- mshambuliaji wa england
rickie lambert (32) ametua liverpool kwa mkataba wa miaka 2 kwa dau la £4m.
mancity
- mkoba kisiki wa porto
eliaquim mangala anakaribia kutua mancity kwa dau la £30m.
- full beki jembe
bacary sagna (31) amesaini mkataba wa miaka 3. Atalipwa £140,000 kwa wiki.
- bei ya mkali
lionel messi (26) sasa ni
£164m kwa mujibu wa dau lililotengwa na mancity ili kumng'oa barcelona.
- mancity wametega dau la £53m kumng'oa kiungo kinda anayetisha duniani
paul pogba (21) kutoka juventus.