Transfer Window 2014/2015, Special thread

Transfer Window 2014/2015, Special thread

Mkongwe Samuel Eto'o (33) huenda akatua liverpool kama mchezaji huru, huku beki Kolo Toure (33) naye akiwa mlangoni kuondoka kwenda Trabzonspor ya Uturuki kwa ada ya £1.5m.
 
Arsenal inajipanga kumchukua Cheick Tiote (28) wa Newcastle kwa dau la £8m ili kuimarisha safu ya kiungo.
 
Beki wa kushoto Alberto Moreno (22, Spain) wa Sevilla anakuja Liverpool kwa dau la £12m.
 
Beki wa kushoto Alberto Moreno (22, Spain) wa Sevilla anakuja Liverpool kwa dau la £12m.

hivi wewe kichwat huu uzi unahusu epl pekee? Mbona sioni ukizungumzia timu za bundasliga, laliga au hata serie A? Nenda kule spain mkaone nini watu wanafanya. Atletico de Madrid, barcelona, real madrid kwa kutaja chache.

Vp bayern munich? Dotmund je? Kule seria A kina Roma, Napoli, juve Milan na inter wote wanafanya usajili we unaangaika na vilabu vya uingereza tu.

Badilisha heading yako andika epl transfer special thread.
 
Last edited by a moderator:
hivi wewe kichwat huu uzi unahusu epl pekee? Mbona sioni ukizungumzia timu za bundasliga, laliga au hata serie A? Nenda kule spain mkaone nini watu wanafanya. Atletico de Madrid, barcelona, real madrid kwa kutaja chache.

Vp bayern munich? Dotmund je? Kule seria A kina Roma, Napoli, juve Milan na inter wote wanafanya usajili we unaangaika na vilabu vya uingereza tu.

Badilisha heading yako andika epl transfer special thread.
ndio anaonyesha kua yeye ni mpenzi wa epl tu mwambie tena ageukie spain aone watu wanavyo fanya mambo
 
hivi wewe kichwat huu uzi unahusu epl pekee? Mbona sioni ukizungumzia timu za bundasliga, laliga au hata serie A? Nenda kule spain mkaone nini watu wanafanya. Atletico de Madrid, barcelona, real madrid kwa kutaja chache.

Vp bayern munich? Dotmund je? Kule seria A kina Roma, Napoli, juve Milan na inter wote wanafanya usajili we unaangaika na vilabu vya uingereza tu.

Badilisha heading yako andika epl transfer special thread.

Ndio mdau: Huu uzi unahusika na BIG SIGNINGS za timu kubwa za EPL (INs & OUTs).
Mchujo huo umefanyika ili kuwa na kitu kizuri zaidi, tukizingatia EPL ndio ligi inayofuatiliwa zaidi East Africa.
Ahsante.
 
Ndio mdau: Huu uzi unahusika na BIG SIGNINGS za timu kubwa za EPL (INs & OUTs).
Mchujo huo umefanyika ili kuwa na kitu kizuri zaidi, tukizingatia EPL ndio ligi inayofuatiliwa zaidi East Africa.
Ahsante.
mkuu ukisema hivyo utakua unakosea basi hata mada wenyewe ungaliandika kua ni big 4 tu halafu usiseme kua EPL kua ndio ligi inayofuatiliwa zaid saivi watu wengi wamebadilika tunaangalia ligi zote c epl tu la si hivyo badilisha mada yaku na kama unasema c jui east africa jua kwamba humu tumo wengi na hatawengine hawako east africa samahani lakni!!!
 
cavani ataenda arsenal ikiwa p.s.g itamsajili angel di maria kut
oka real madrid.
 
mkuu ukisema hivyo utakua unakosea basi hata mada wenyewe ungaliandika kua ni big 4 tu halafu usiseme kua EPL kua ndio ligi inayofuatiliwa zaid saivi watu wengi wamebadilika tunaangalia ligi zote c epl tu la si hivyo badilisha mada yaku na kama unasema c jui east africa jua kwamba humu tumo wengi na hatawengine hawako east africa samahani lakni!!!

Anzisha uzi
 
sina haja ya kuanzisha uzi ila hivyo nilivyokwambia ndio ukweli wenyewe

Mkuu sjapinga wazo lako la msing lakin inavoonesha mkuu aliyewekewa uzi wake sticky hataki, so tutafanyaje.

Hata nataman kuona timu zote apa.
 
Mkuu sjapinga wazo lako la msing lakin inavoonesha mkuu aliyewekewa uzi wake sticky hataki, so tutafanyaje.

Hata nataman kuona timu zote apa.
poa mku haina shida wee endelea tu kutupa update
 
Mshambuliaji Mario Balotelli anaenda England kesho Ijumaa kukamilisha uhamisho wake wa kwenda Liverpool kwa dau la £16m kutoka AC Milan.
 
Kocha van Gaal amempa live Danny Welbeck (23) kwamba hana nafasi kwenye kikosi chake, atafute timu. Tottenham wanajiandaa kumdaka.
 
Kiungo kinda anayetisha duniani Paul Pogba (21) anabaki Juventus. Atasaini mkataba mpya wa miaka 5 wenye mshahara wa £76,000 kwa wiki.
 
Mkongwe Samuel Eto'o (33) anakaribia kutua Liverpool ikiwa ni backup ya Balotelli ambaye haaminiki HATA KIDOGO. Eto'o ameshafanya vipimo na atasaini mkataba wa Mwaka 1.
 
Winga anayetisha Angel Di Maria (26) anatua Old Trafford kwa dau la £56m. Hii itaweka rekodi mpya ya dau la usajili ndani ya EPL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom