Trafiki wa kike na vimini

wengi wawo wanamakalio yaliyobinuka kumbe usishangae mimi napenda sana uvaaji huo
 
Vimini vinawasaidia kuweza kukimbia..sketi ndefu haifai kukimbia,sema tatizo wanavaa vimin vimewabana sana.
 
jeshi lolote duniani lina sheria na taratibu zake ktk mavazi.
Hawaruhusiwi kuvaa vimini ila tatizo ni usimamizi mbovu.

Akiwa na shepu hata avaeje mtasema kavaa vibaya.
... and the vice versa !
 
ukiona sketi mbele ndefu nyuma fupi; ni makosa ya kiufundi tu.
 
Umesahau na manesi! halafu ndo ukute anakusafisha baada ya kutahiriwa ukubwani,unaweza ukaria maumivu utakayopata!

Mkuu umenichekesha sana kwa hizi kumbukumbu zako!
 

lete picha!
 
wengine ni kama mama zetu hawana adabu hawa maofisaa wa usalama barabaran...... mi wananiboa kwel
 
Kumbuka hata wao ni binadamu pia na wanamatamanio kama ilivyo kwa watu wengine licha ya majukumu waliyonayo
 
Jamani me ni afande mshona jezi za polisi(Traffiki), huwa wakati tunawapima wametoak dep watoto hawa wanakuwa wembamba sana. sasa akingia barabarani basi tena michuzi hadi paja linajaa. hata hivyo nao wanahitaji kupunguza stress kama wanawake wengine.....ukizingatia unakaa kwnenye jua siku nzima halafu huna mume.
 
Unalako jambo. Ina maana hakuna sekta nyingine umeona traffic tu. Nenda bank, Tra, na manes

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…