Traffic wa bongo noma

Traffic wa bongo noma

Mussa kiraka

Senior Member
Joined
Mar 4, 2012
Posts
106
Reaction score
13
nilikua kituoni mwenge ghafla katokea trafik akamwita kondakta njoo alafu akaenda kwenye meza ya magazeti akachukua magazeti mawili akaondoka konda ndie mlipaji bila kupatana. je hii ni haki kweli?
 
Konda ni rafiki yake, wanafahamiana. Kwani konda alilipa au alikataa? Hajalazimishwa kumbuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom