SUYA
Senior Member
- Jun 24, 2009
- 131
- 21
Nimekaa hapa ki jiwekee zaidi ya masaa mawili traffic zaidi ya kumi wametanda barabarani wanalamba vichwa balaaa wakiongozwa Na mkuu wao. Jambo la ajabu sijaona gari hata moja likipelekwa kituoni au kuandikiwa notification zaidi ya kuona traffic wakizunguka nyuma ya gari Na kuchukua mshiko nasikia dau ni tsh 10000 kwa leo. Swali je hawa jamaa huwa wanatumwa hela au wanaangalia usalama barabarani?