Traffic Lights Bagamoyo Road nyingi sana mpaka kero

maroon7

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
11,144
15,144
Nahisi wataalam wetu wanachoamini wao ni kwamba kukiwa na matrafiki light mengi ndio maendeleo...maana walichokifanya saizi kuanzia Mwenge hadi Morocco ni kukomoa. Mwenge taa, TV taa, Bamaga taa, Sayansi taa, Makumbusho taa, victoria taa, mbele ya victoria taa,then unakutana na taa za Morocco.

Hivi mlishindwa nini kufanya magari yanayotaka kuingia ITV yakazungukie mwenge na yanayotokea it kuelekea mwenge yakazungukie Bamaga? Hata mi nawashinda jamani? Mmeshindwa hata kuiga ubungo walivyofanya kwa magari yanayotokea mawasiliano yanayozungukia ubungo?

Dah, ukifika mwenge tu kama unaelekea morocco inabidi usinzie kabisa...badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma
 
Mods naomba rekebisha heading isomeke Bagamoyo road...afu muweke option ya kuedit heading,ipo siku ntakosea niandike tusi kwenye heading nishindwe kuedit afu waziri atangaze nikamatwe igp akatae
 
Mkuu umewahi pita pita na kwa nchi zingine ukaona jinsi hizi taa (robots) zinavyo operate?

Una hakika kabisa unewashinda kuwaza mainjinia wetu hapa kwenye hili ukijumlisha na designers na consultants wote tu?
 
Mkuu umewahi pita pita na kwa nchi zingine ukaona jinsi hizi taa (robots) zinavyo operate?

Una hakika kabisa unewashinda kuwaza mainjinia wetu hapa kwenye hili ukijumlisha na designers na consultants wote tu?
Mainjinia wa Tanzania ni mizigo tu hawana ubunifu wowote hawa viumbe. Kuna taa pale Morogoro zinawaka kwa sekunde 6 na ziko main road ili uamini ni wapumbavu hawa watu.
 
yan hiyo point ya kuzuka km ubungo ndo mbovu zaid bora mataa tu..
na kiukwel taa haziwek foleni ya kuganda mda mrefu ni lazim mtasimama ila mtasogea tu so kwa mm bora taa.
 
Mwenge taa,
Itv taa
Makutano ya sinza taa,
Sayansi taa,
Lapf tower taa,
Njia panda ya makumbusho stand taa,
Victoria taa,
Victoria tena baada ya mita 20 unakuta na taa tena,
Vodacom taaa
Morocco junction taa,

Hawa mainjiniaa hawana akili zero kabisaa, barabara kubwa kama ile mataa kila kona. Sijaona solution ya foleni
 
Mwenge taa,
Itv taa
Makutano ya sinza taa,
Sayansi taa,
Lapf tower taa,
Njia panda ya makumbusho stand taa,
Victoria taa,
Victoria tena baada ya mita 20 unakuta na taa tena,
Vodacom taaa
Morocco junction taa,

Hawa mainjiniaa hawana akili zero kabisaa, barabara kubwa kama ile mataa kila kona. Sijaona solution ya foleni
Sijui walivosema Dar iwe kama ulaya ndo walielewa hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom